Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom yakanusha kuhusika na kampeni za kisiasa


Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imekanusha taarifa za uvumi zilizotangazwa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa inaendesha kampeni kupitia ujumbe mfupi wa maneno kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia UKAWA.
Vyombo hivyo viliandika habari za uzushi kuwa Vodacom imeanzisha promosheni kupitia ujumbe mfupi wa maneno inayojulikana kama “Jiunge na Lowassa” kitu ambacho hakipo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Rene Meza ameeleza kuwa kampeni zinazoendeshwa hivi sasa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI

Mkurugenzi  wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.…
...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya China yakanusha kuhusika na kuanguka kwa jengo

JENGO

 

Wananchi wakingalia jengo la gorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013. (Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

Kampuni ya ujenzi ya CRJE kutoka China imekanusha vikali kuhusika na jengo la ghorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013.

Taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana, inaeleza kuwa kampuni hiyo haikuwahi kushiriki...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kampeni ya Trump yakanusha idadi ndogo kuhudhuria mkutano wake

Vijana wadogo wanasemekana kuwa walijiandikisha kununua tiketi wakiwa na nia ya kutohudhuria mkutano huo kwa lengo la kuhakikisha viti vinabaki tupu katika mkutano huo.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAKANUSHA CHADEMA KUTUMIA UWANJA WA TAIFA KUZINDUA KAMPENI ZAKE.

Na Benedict Liwenga, MAELEZO.SERIKALI imekanusha taarifa zilizojitokeza kwenye Vyombo vya habari yakiwemo magazeti na mitandao ya kijamii kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitafanya mkutano hadhara Uwanja wa Taifa Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2015.
Akizungumza na vyombo vya habari jana, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema serikali haijatoa ruhusa kwa chama chochote cha siasa kutumia uwanja wa taifa kwa ajili ya shughuli za kisiasa.
Alikiri kwamba...

 

9 years ago

Bongo5

Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa

Mwimbaji wa muziki wa R&B, Jux amesema hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa kwa kuogopa kuwachanganya mashabiki wake. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Jux alisema akipanda kwenye majukwaa ya siasa itakuwa ni kama anawashinikiza mashabiki wake kuchagua viongozi wasiowataka. “Watanzania tulivyo, mimi kama kuna mtu ananipenda mpaka akaamua kuchora Jux au […]

 

9 years ago

Dewji Blog

BASATA yaonya wasanii dhidi ya lugha chafu, maadili wakati huu wa kampeni za kisiasa

_DSC3283

Katibu Mtendaji, Basata, Godfrey L. Mngereza.

Katika siku za hivi karibuni kumeibuka wimbi la wasanii kuvunja maadili, kukaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi za Sanaa hususan muziki hali ambayo imezua malalamiko, masikitiko na hofu kwa jamii ambayo ni walaji wa kazi za Sanaa.

Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi...

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.

 Katika ukurasa wa mbele na wa tano wa Gazeti la Nipashe, toleo 0578604 la tarehe 12 Septemba, 2015 kumechapishwa taarifa kwamba “Sefue; Marufuku kutumia magari ya serikali kwenye kampeni”
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”


Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM TANZANIA YAJA NA KAMPENI YA"LIFE IS BETTER"

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(watatu toka kushoto)akiwa ameshikana mikono na baadhi ya viongozi wa taasisi zilizowezeshwa na Kampuni hiyo kufanya wanajamii maisha yao kuwa murua.Wakati wa hafla ya Uzinduzi wa kampeni mpya ya kampeni hiyo ya“Life is better” inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi kwa kutuma na kupokea pesa kwa M PESA kwa haraka na salama zaidi,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto katika picha...

 

9 years ago

Global Publishers

Vodacom Tanzania yaja na kampeni ya ‘life is better’

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(watatu toka kushoto)akiwa ameshikana mikono na baadhi ya viongozi wa taasisi zilizowezeshwa na Kampuni hiyo kufanya wanajamii maisha yao kuwa murua.Wakati wa hafla ya Uzinduzi wa kampeni mpya ya kampeni hiyo ya“Life is better” inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi kwa kutuma na kupokea pesa kwa M PESA kwa haraka na salama zaidi,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto katika picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani