Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa
Mwimbaji wa muziki wa R&B, Jux amesema hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa kwa kuogopa kuwachanganya mashabiki wake. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Jux alisema akipanda kwenye majukwaa ya siasa itakuwa ni kama anawashinikiza mashabiki wake kuchagua viongozi wasiowataka. “Watanzania tulivyo, mimi kama kuna mtu ananipenda mpaka akaamua kuchora Jux au […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Sep
Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show siasa
9 years ago
Bongo521 Oct
Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi
9 years ago
Bongo519 Oct
Vanessa adai bila Jux asingeweza kufanya video ‘Never Ever’
9 years ago
Bongo518 Sep
Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)
9 years ago
Bongo521 Oct
Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake
9 years ago
Bongo506 Nov
Izzo Bizness adai hawezi kutoa wimbo bila mama yake kuupitisha
![Izzo B.psd_](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Izzo-B.psd_-300x194.jpg)
Rapper Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize kwanza.
Izzo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Bizness’ na alipoupitisha ukawa na mafanikio makubwa.
“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe,” alisema.
“Nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa wimbo huwa wanawapa watangazaji, madj na wadau wengine wa muziki. Lakini mimi mama yangu ndio amekuwa...
9 years ago
Bongo529 Sep
Navy Kenzo watumia 80% ya malipo ya show kufanya maandalizi ya show hiyo
9 years ago
Bongo506 Nov
P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa
![10725062_844274638950672_53630798_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10725062_844274638950672_53630798_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.
Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.
“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...
9 years ago
Bongo528 Sep
Jux adai hataachia wimbo mpya mpaka ‘Looking For You’ ifikishe views mil 1 YouTube