Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa

Mwimbaji wa muziki wa R&B, Jux amesema hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa kwa kuogopa kuwachanganya mashabiki wake. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Jux alisema akipanda kwenye majukwaa ya siasa itakuwa ni kama anawashinikiza mashabiki wake kuchagua viongozi wasiowataka. “Watanzania tulivyo, mimi kama kuna mtu ananipenda mpaka akaamua kuchora Jux au […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show siasa

Rapper Godzilla amewaunga mkono Weusi na wasanii wengine kwa kusema kuwa hawezi kufanya show za kisiasa ili kumsupport mgombea fulani. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Zizi alisema hawezi kuuza utu wake kwa pesa. “Sasa hivi politics zimetawala, wasanii ni politics, mimi sio politics, siwezi kufanya hivyo na kitambulisho cha kura sasa […]

 

9 years ago

Bongo5

Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi

Maunda Zorro amesema ameamua kuuweka pembeni muziki na kuamua kufanya biashara zake binafsi. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bora afanye biashara zinazomlipa kuliko kuendelea kufanya muziki usiomlipa. “Sijatoa kazi yoyote na sina mpango wa kutoa, kuna vitu vingine nafanya siwezi kufanya kitu ambacho hakinilipi,” amesema. “Kwahiyo kuna vitu vingine nafanya vya kuendesha maisha na kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa adai bila Jux asingeweza kufanya video ‘Never Ever’

Vanessa Mdee amesema mpenzi wake Jux amefanya kazi kubwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wake mpya, ‘Never Ever’. Vanessa alikiambia kipindi cha Friday Night Live (FNL) cha EATV hivi karibuni kuwa yeye na Jux wanashirikiana katika vitu vingi ingawa mpenzi wake huyo yupo nje kimasomo kwa sasa. “Yupo China anasoma, lakini tupo poa kabisa,” […]

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)

Kuna mgawanyiko mkubwa wa wasanii katika machaguo yao ya wapi waegemee kwenye kipindi hiki cha uchaguzi. Wasanii wengi wanaonekana kuchukuliwa na chama tawala zaidi kwenye mikutano yake ya kampeni lakini pia wapo kibao waliopo upande wa muungano wa vyama vya Ukawa. Kuna wengine ambao pamoja na kuombwa kushiriki kwenye kampeni hizo wamekataa kwa kile wanachoamini […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness adai hawezi kutoa wimbo bila mama yake kuupitisha

Izzo B.psd_

Rapper Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize kwanza.

Izzo

Izzo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Bizness’ na alipoupitisha ukawa na mafanikio makubwa.

“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe,” alisema.

“Nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa wimbo huwa wanawapa watangazaji, madj na wadau wengine wa muziki. Lakini mimi mama yangu ndio amekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Navy Kenzo watumia 80% ya malipo ya show kufanya maandalizi ya show hiyo

Ili msanii afanikiwe anahitajika awe mwepesi katika kuwekeza katika kazi zake ili kujiongezea thamani ya kazi yake. Wapo wasanii wengi ambao wanajinyima kufanya starehe na mambo mengine ya kimaisha ili wawekeze katika kazi pesa wanazopata kwenye shows pamoja na vipato vingine. Nahreel amesema kuwa yeye na Aika wanaounda Navy Kenzo walitumia asilimia 80 ya pesa […]

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa

10725062_844274638950672_53630798_n

Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.

10725062_844274638950672_53630798_n

Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.

“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...

 

9 years ago

Bongo5

Jux adai hataachia wimbo mpya mpaka ‘Looking For You’ ifikishe views mil 1 YouTube

Jux ameamua kujipa changamoto ngumu. Muimbaji huyo amesema hataachia wimbo mpya hadi pale video ya wimbo wake Looking For You itafikisha views milioni moja kwenye mtandao wa Youtube. “Lets hit 1 million views on this Looking for you and I will drop a new ,” ameandika kwenye Instagram. Tatizo ni kuwa hadi sasa wimbo huo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani