Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show siasa
Rapper Godzilla amewaunga mkono Weusi na wasanii wengine kwa kusema kuwa hawezi kufanya show za kisiasa ili kumsupport mgombea fulani. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Zizi alisema hawezi kuuza utu wake kwa pesa. “Sasa hivi politics zimetawala, wasanii ni politics, mimi sio politics, siwezi kufanya hivyo na kitambulisho cha kura sasa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa
9 years ago
Bongo521 Oct
Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina
Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala, Golden Mbunda “ Godzilla” ambaye msanii huyo anajiita hivyo.
Akizungumza na mwandishi...
10 years ago
Bongo507 Feb
P-Funk atoa ofa ya milioni 5 kwa Godzilla warudie kuurekodi wimbo wake ‘Tungi’
9 years ago
Habarileo04 Oct
Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki
WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.
9 years ago
Bongo528 Nov
Msechu aeleza kwanini hawezi kuwa na wivu kwa mchumba wake
![Peter Msechu na Mpenzi wake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Peter-Msechu-na-Mpenzi-wake-300x194.jpg)
Peter Msechu amesema anampenda na kumwamini mke wake.
Akizungumza na E-Newz ya EATV, Msechu alisema mchumba wake aliyezaa naye mtoto mmoja wamefahamiana tangu mwaka 2002.
“Namwachaje mwanamke nimemganda kama luba, hata nimkute na wanaume 4000 namwambia ‘mama kaoge tuendelee na maisha,” alisema alisema Mchechu.
“Maisha ni mazuri sana, mama wa mtoto wangu nimekutana naye mwaka 2002, hesabu huu ni mwaka wa ngapi nipo na huyu mama? Na huyo mama ndio aliyenipigia simu akaniambia ‘mpenzi wangu...
9 years ago
Bongo521 Oct
Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi
9 years ago
Bongo506 Nov
Izzo Bizness adai hawezi kutoa wimbo bila mama yake kuupitisha
![Izzo B.psd_](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Izzo-B.psd_-300x194.jpg)
Rapper Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize kwanza.
Izzo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Bizness’ na alipoupitisha ukawa na mafanikio makubwa.
“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe,” alisema.
“Nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa wimbo huwa wanawapa watangazaji, madj na wadau wengine wa muziki. Lakini mimi mama yangu ndio amekuwa...
9 years ago
Bongo506 Nov
P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa
![10725062_844274638950672_53630798_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10725062_844274638950672_53630798_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.
Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.
“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...