Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show siasa

Rapper Godzilla amewaunga mkono Weusi na wasanii wengine kwa kusema kuwa hawezi kufanya show za kisiasa ili kumsupport mgombea fulani. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Zizi alisema hawezi kuuza utu wake kwa pesa. “Sasa hivi politics zimetawala, wasanii ni politics, mimi sio politics, siwezi kufanya hivyo na kitambulisho cha kura sasa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa

Mwimbaji wa muziki wa R&B, Jux amesema hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa kwa kuogopa kuwachanganya mashabiki wake. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Jux alisema akipanda kwenye majukwaa ya siasa itakuwa ni kama anawashinikiza mashabiki wake kuchagua viongozi wasiowataka. “Watanzania tulivyo, mimi kama kuna mtu ananipenda mpaka akaamua kuchora Jux au […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina

IMG_0860

Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.

Na Daniel Makaka, Sengerema

Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo  na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala,  Golden Mbunda  “ Godzilla”  ambaye msanii huyo anajiita hivyo.

Akizungumza na mwandishi...

 

10 years ago

Bongo5

P-Funk atoa ofa ya milioni 5 kwa Godzilla warudie kuurekodi wimbo wake ‘Tungi’

Mtayarishaji wa muziki na mwanzilishi wa Bongo Records, P-Funk Majani, ametoa ofa ya zaidi ya shilingi milioni 5 kwa Godzilla kumtaka warudie wimbo wake ‘Tungi’ uliopo kwenye mixtape yake, Zillax. Godzilla amekiambia kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM kuwa, mtayarishaji huyo mkongwe alisema yupo tayari kuurudia wimbo huo na kuufanyia video kutoka kwa director yoyote […]

 

9 years ago

Habarileo

Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki

WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.

 

9 years ago

Bongo5

Msechu aeleza kwanini hawezi kuwa na wivu kwa mchumba wake

Peter Msechu na Mpenzi wake

Peter Msechu amesema anampenda na kumwamini mke wake.

Peter Msechu na Mpenzi wake

Akizungumza na E-Newz ya EATV, Msechu alisema mchumba wake aliyezaa naye mtoto mmoja wamefahamiana tangu mwaka 2002.

“Namwachaje mwanamke nimemganda kama luba, hata nimkute na wanaume 4000 namwambia ‘mama kaoge tuendelee na maisha,” alisema alisema Mchechu.

“Maisha ni mazuri sana, mama wa mtoto wangu nimekutana naye mwaka 2002, hesabu huu ni mwaka wa ngapi nipo na huyu mama? Na huyo mama ndio aliyenipigia simu akaniambia ‘mpenzi wangu...

 

9 years ago

Bongo5

Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi

Maunda Zorro amesema ameamua kuuweka pembeni muziki na kuamua kufanya biashara zake binafsi. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bora afanye biashara zinazomlipa kuliko kuendelea kufanya muziki usiomlipa. “Sijatoa kazi yoyote na sina mpango wa kutoa, kuna vitu vingine nafanya siwezi kufanya kitu ambacho hakinilipi,” amesema. “Kwahiyo kuna vitu vingine nafanya vya kuendesha maisha na kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness adai hawezi kutoa wimbo bila mama yake kuupitisha

Izzo B.psd_

Rapper Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize kwanza.

Izzo

Izzo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Bizness’ na alipoupitisha ukawa na mafanikio makubwa.

“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe,” alisema.

“Nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa wimbo huwa wanawapa watangazaji, madj na wadau wengine wa muziki. Lakini mimi mama yangu ndio amekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa

10725062_844274638950672_53630798_n

Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.

10725062_844274638950672_53630798_n

Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.

“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani