Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Navy Kenzo watumia 80% ya malipo ya show kufanya maandalizi ya show hiyo

Ili msanii afanikiwe anahitajika awe mwepesi katika kuwekeza katika kazi zake ili kujiongezea thamani ya kazi yake. Wapo wasanii wengi ambao wanajinyima kufanya starehe na mambo mengine ya kimaisha ili wawekeze katika kazi pesa wanazopata kwenye shows pamoja na vipato vingine. Nahreel amesema kuwa yeye na Aika wanaounda Navy Kenzo walitumia asilimia 80 ya pesa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

EDDY KENZO (UG) KUFANYA SHOW KALI KATIKA JIJI LA WAJANJA OAKLAND - CALIFORNIA

 Edrisa Musuuza a.k.a Eddy Kenzo was born in Masaka, a town in the central region of Uganda. He lost his mother at age 5 and would go on to live a street life for 13 years. After high school, he adopted the stage name Eddy Kenzo and began writing music. In 2008, he was featured in the popular song “Yanimba” by Mikie Wine.His breakthrough 2010 song, “Stamina”, was met with critical acclaim and was used as a theme song for Yoweri Museveni’s presidential campaign. He released the album Ogenda...

 

9 years ago

Bongo5

Kufanya kazi nzuri ndio siri ya mafanikio yetu — Navy Kenzo

Wasanii wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreel na Aika wamesema hawajakutana na changamoto za kunyimwa msaada wa connection kutoka kwa wasanii wenzao kama wasanii wengine wanavyodai kukutana na changamoto hizo. Wakizungumza na Bongo5 kwa pamoja hivi karibuni, Aika alisema uwezo wao pamoja na juhudi, zimefanya wasaidiwe kiurahisi. “Sisi tulifanya kile kinachohitajika,” alisema Aika. “Tulienda the […]

 

9 years ago

Bongo5

Morgan Heritage watumia picha ya kampeni za CCM Mwanza kudai ni watu waliohudhuria show yao ya Nairobi

Kundi la reggae kutoka Jamaica linaloheshimika zaidi duniani, Morgan Heritage limeamua kwa kujua au kwa kutokujua kuudanganya umma! Kupitia Facebook, mmoja wa waimbaji wa kundi hilo, Gramps Morgan, alipost picha ya nyomi la watu wenye mavazi ya kijani na njano na kuandika: “Much love to all our Kenyan fans it was a pleasure to perform […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,

Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.

IMG_9221

 

5 years ago

Bongo5

Christian Bella kufanya show 4 mfululizo Australia

Mkali wa masauti Christian Bella weekend hii anatarajia kufanya show 4 mfululizo katika miji tofauti nchini Australia.

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Bella amesema show hizo zitamfungulia milango mipya ya soko la muziki wake nchini Australia.

“Kwa sasa nipo Australia kwajili ya maandalizi ya tour yangu kwa sababu nitakuwa na show nne mfululizo kwa hiyo maandalizi yalikuwa yanahitajika,” alisema Bella. “Unajua tunafanya show nje siyo tu kwajili ya kupata pesa peke yake, sisi ni wasanii lazima...

 

9 years ago

Bongo5

Jux adai hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa

Mwimbaji wa muziki wa R&B, Jux amesema hawezi kufanya show za kampeni za kisiasa kwa kuogopa kuwachanganya mashabiki wake. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Jux alisema akipanda kwenye majukwaa ya siasa itakuwa ni kama anawashinikiza mashabiki wake kuchagua viongozi wasiowataka. “Watanzania tulivyo, mimi kama kuna mtu ananipenda mpaka akaamua kuchora Jux au […]

 

9 years ago

Bongo5

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)

casper the domeKudhihirisha kuwa rekodi aliyoiweka Cassper Nyovest, Jumamosi ya Oct.31,2015 hakikuwa kitu kidogo, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempongeza rapper huyo kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa The Dome (sold-out show) ulioko jijini Johannesburg, wenye uwezo wa kuchukua watu 20,000, akiwa mwenyewe bila msaada wa msanii yeyote wa kimataifa. President […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani