Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morgan Heritage watumia picha ya kampeni za CCM Mwanza kudai ni watu waliohudhuria show yao ya Nairobi

Kundi la reggae kutoka Jamaica linaloheshimika zaidi duniani, Morgan Heritage limeamua kwa kujua au kwa kutokujua kuudanganya umma! Kupitia Facebook, mmoja wa waimbaji wa kundi hilo, Gramps Morgan, alipost picha ya nyomi la watu wenye mavazi ya kijani na njano na kuandika: “Much love to all our Kenyan fans it was a pleasure to perform […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,

Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.

IMG_9221

 

9 years ago

Bongo5

Navy Kenzo watumia 80% ya malipo ya show kufanya maandalizi ya show hiyo

Ili msanii afanikiwe anahitajika awe mwepesi katika kuwekeza katika kazi zake ili kujiongezea thamani ya kazi yake. Wapo wasanii wengi ambao wanajinyima kufanya starehe na mambo mengine ya kimaisha ili wawekeze katika kazi pesa wanazopata kwenye shows pamoja na vipato vingine. Nahreel amesema kuwa yeye na Aika wanaounda Navy Kenzo walitumia asilimia 80 ya pesa […]

 

9 years ago

Bongo5

Watu wanaopenda picha za utupu na filamu za ngono huathiri mahusiano yao ya kimapenzi

unhappy-man-sad-795x529 (1)

Nilikuwa nasoma makala kwenye gazeti moja nikakutana na habari ya mtu huyu ambaye ameathirika na kitendo cha kutazama picha za ngono na tendo la kufanya punyeto tokea akiwa shule ya sekondari.

unhappy-man-sad-795x529 (1)

Akaendelea kusema kwa sasa amekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitatu lakini tatizo hilo linaendelea ingawa mke wake hajui jambo hilo linavyomsumbua. Kinachotokea ni kwamba anapokuwa peke yake ndani ya nyumba peke yake huangalia picha hizo na kuanza kupiga punyeto, ingawa alidhani angeacha mara tu baada ya...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO KATIKA PICHA: KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI - MWANZA

 Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo. Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

9 years ago

Bongo5

AFRIMA 2015: Picha za mastaa mbalimbali wa Afrika waliohudhuria

Afrima pic-15

Tuzo za AFRIMA 2015 zilizofanyika Jumapili ya Novemba 15 jijini Lagos, Nigeria zilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa Afrika wakiwemo wasanii waliokuwa wakiwania vipengele mbalimbali.

Afrima pic-15

Kutoka Afrika Kusini ma-rapper wenye ushindani mkubwa Cassper Nyovest na AKA walikuwepo, Kutoka Afrika Mashariki Victoria Kimani, Sauti Sol, Diamond, Vanessa Mdee na Linah pia ni miongoni mwa waliohudhuria.

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa waliohudhuria.

Afrima pic-2

Afrima pic-3

Afrima pic-4

Afrima pic-5

Afrima pic-6

Afrima pic-7

Afrima pic-8

Afrima pic-9

Afrima pic-10

Afrima pic-11

Afrima pic-12

Afrima pic-14

Afrima pic-16

Afrima pic-17

Afrima pic-18

Afrima pic-19

Afrima pic-20

Photo Credit: Instagram & Twitter –...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE UZINDUZI WA KAMPENI CCM

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kampeni ya Urais katika viwanja vya Jangwani Jijini Dar es Salaam leo (picha na Freddy Maro).







 

5 years ago

Michuzi

SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamiiMAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu na tayari kuna watu wameanza kujipitisha kwenye kata na majimbo kabla ya wakati, hivyo ametoa onyo kwa yoyote anayejipitisha mapema atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na miongozo ya Chama hicho.Mama Samia ameyasema hayo leo Februari 13,2020 kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuria na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani