Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO KATIKA PICHA: KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI - MWANZA

 Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo. Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA IRINGA WAFURAHIA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI


Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Ernesta Shirima akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla na rejareja wa Manispaa ya Iringa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha Kampuni ya Ever Green Wood iliyopo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA IRINGA


Na Veronica Kazimoto,Iringa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambapo kwa sasa inafanya kampeni hiyo katika Mkoa wa Iringa na wilaya zake ikitoa elimu ya kodi kwa kuwatembelea wafanyabiashara mbalimbali kwenye biashara zao.

Akizungumzia kampeni hiyo, Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi Bi. Rose Mahendeka alisema kuwa TRA imejipanga kuwafikia wafanyabiashara mahali walipo ili kuwapatia elimu ya kodi ikiwa ni pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili na...

 

5 years ago

Michuzi

RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI


Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...

 

11 years ago

GPL

MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule zilizopo mkoa wa Njombe wakifurahia maadhimisho ya wiki ya elimu yaliyofanyika kimkoa katika wilaya ya Makete Aprili 11, 2014.…

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YA KAMPENI ZA MWANA DIASPORA LIBE

Ni Liberatus Mwang'ombe aka "Libe" aliye wahi kukaa DMV, USA na sasa yupo kwenye harakati za kwenda Dodoma.
Libe katika ubora wakeLibe akiingia mkutanono na ulinzi shirikishi Mafuriko ya mbunge



 Peoples'... POWER!!!















Akiwa njiani kuelekea kwenye mikutabo, Libe huongea na mtu mmoja mmoja 
Mh. Mwang'ombe  anaamini kuwa huwezi kuibadili Dodoma kwa kukaa nje ya mjengo. Ni lazima uingie Dodoma ili uweze kuibadilisha na kupitisha agenda za diaspora. Hivyo basi, anawaomba diaspora wote bila kujali...

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyakea wakiwa katika mkesha wa mwaka mpya.  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na mkewe wakicheza kwa furaha wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akiwa na furaha wakati wa mkesha wa mwaka 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye(katikati) akicheza nyimbo za injili wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Matukio katika picha

Baadhi ya picha zikionyesha jinsi watu katika maeneo mbalimbali duniani wanavyokabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA





Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri wa Nchi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani