MATUKIO KATIKA PICHA: KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI - MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FAY9OS-iXu8/XutZIFBRB7I/AAAAAAALuco/nC_Cg6dfJyYorPI97ed5LgQ4kIzM1nldACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo.
Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ksX4A9pH2D4/XlKWDRUrvfI/AAAAAAALe6U/2fe4-stLibshomikFgS3AVntjJQ-ud1eACLcBGAsYHQ/s72-c/d270e673-d941-4544-b5fa-8377c9813e1a.jpg)
WAFANYABIASHARA IRINGA WAFURAHIA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ksX4A9pH2D4/XlKWDRUrvfI/AAAAAAALe6U/2fe4-stLibshomikFgS3AVntjJQ-ud1eACLcBGAsYHQ/s640/d270e673-d941-4544-b5fa-8377c9813e1a.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Ernesta Shirima akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla na rejareja wa Manispaa ya Iringa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3d43fc6c-581f-411b-b433-72eec00dcd98.jpg)
Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha Kampuni ya Ever Green Wood iliyopo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nk2ezAe3YEQ/XkrtbZLBvJI/AAAAAAALdzY/XVq-lw4fNSwS0Nj3lcv4wI7YbxZeA3k6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA IRINGA
Na Veronica Kazimoto,Iringa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambapo kwa sasa inafanya kampeni hiyo katika Mkoa wa Iringa na wilaya zake ikitoa elimu ya kodi kwa kuwatembelea wafanyabiashara mbalimbali kwenye biashara zao.
Akizungumzia kampeni hiyo, Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi Bi. Rose Mahendeka alisema kuwa TRA imejipanga kuwafikia wafanyabiashara mahali walipo ili kuwapatia elimu ya kodi ikiwa ni pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-3AAA-3-1024x682.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-4AAA-1-1024x682.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
11 years ago
GPLMATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE
9 years ago
VijimamboPICHA: JUST PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YA KAMPENI ZA MWANA DIASPORA LIBE
Mh. Mwang'ombe anaamini kuwa huwezi kuibadili Dodoma kwa kukaa nje ya mjengo. Ni lazima uingie Dodoma ili uweze kuibadilisha na kupitisha agenda za diaspora. Hivyo basi, anawaomba diaspora wote bila kujali...
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Matukio katika picha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ay15_IFH7c/XtpQfGeIQzI/AAAAAAALsus/tDDFs5_4dp4qluoERo_FnPvCfQLNwq1JACLcBGAsYHQ/s72-c/bcaf50fc-b4fc-4792-9468-78392ab24c92.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ay15_IFH7c/XtpQfGeIQzI/AAAAAAALsus/tDDFs5_4dp4qluoERo_FnPvCfQLNwq1JACLcBGAsYHQ/s640/bcaf50fc-b4fc-4792-9468-78392ab24c92.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cd8a9c87-5762-4ce3-98dc-4abe9138014b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d60cbdc7-6694-4787-b9a5-4e2c636fa7bf.jpg)