RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ksX4A9pH2D4/XlKWDRUrvfI/AAAAAAALe6U/2fe4-stLibshomikFgS3AVntjJQ-ud1eACLcBGAsYHQ/s72-c/d270e673-d941-4544-b5fa-8377c9813e1a.jpg)
WAFANYABIASHARA IRINGA WAFURAHIA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ksX4A9pH2D4/XlKWDRUrvfI/AAAAAAALe6U/2fe4-stLibshomikFgS3AVntjJQ-ud1eACLcBGAsYHQ/s640/d270e673-d941-4544-b5fa-8377c9813e1a.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Ernesta Shirima akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla na rejareja wa Manispaa ya Iringa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3d43fc6c-581f-411b-b433-72eec00dcd98.jpg)
Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha Kampuni ya Ever Green Wood iliyopo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nk2ezAe3YEQ/XkrtbZLBvJI/AAAAAAALdzY/XVq-lw4fNSwS0Nj3lcv4wI7YbxZeA3k6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA IRINGA
Na Veronica Kazimoto,Iringa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambapo kwa sasa inafanya kampeni hiyo katika Mkoa wa Iringa na wilaya zake ikitoa elimu ya kodi kwa kuwatembelea wafanyabiashara mbalimbali kwenye biashara zao.
Akizungumzia kampeni hiyo, Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi Bi. Rose Mahendeka alisema kuwa TRA imejipanga kuwafikia wafanyabiashara mahali walipo ili kuwapatia elimu ya kodi ikiwa ni pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAY9OS-iXu8/XutZIFBRB7I/AAAAAAALuco/nC_Cg6dfJyYorPI97ed5LgQ4kIzM1nldACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA: KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI - MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FAY9OS-iXu8/XutZIFBRB7I/AAAAAAALuco/nC_Cg6dfJyYorPI97ed5LgQ4kIzM1nldACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Waungana kuendesha elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ewh-ogED2IY/Xt-Xx0cDzCI/AAAAAAALtMI/NKJPkrEV50gyXWPQDs99LuRcfY-M_nSfgCLcBGAsYHQ/s72-c/mradi%2Bmaji%2Bmabeyo.jpg)
MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI MABEYO AIPONGEZA RTS KIHANGAIKO KUENDESHA MAFUNZO NA MIRADI
Na Luteni Selemani Semunyu
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amepongeza chuo Cha mafunzo ya awali ya Kijeshi cha RTS Kihangaiko kutokana na usisimamizi wa mafunzo na Ujenzi wa Miradi ya kujitegemea.
Jenerali Mabeyo alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa sherehe za kuapa kwa Askari wapya kundi la 39 katika chuo hicho kilichopo Msata Bagamoyo Mkoani Pwani.
"Sina Shaka na mazoezi mliopatiwa na nimeshuhudia pia kupitiaa vyombo vya habari mlipokuwa mkihitoimisha mafunzo...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa aipongeza Shule ya sekondari ” Imperial” kwa jinsi ilivyojipanga kutoa elimu bora
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...