WAFANYABIASHARA IRINGA WAFURAHIA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ksX4A9pH2D4/XlKWDRUrvfI/AAAAAAALe6U/2fe4-stLibshomikFgS3AVntjJQ-ud1eACLcBGAsYHQ/s72-c/d270e673-d941-4544-b5fa-8377c9813e1a.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Ernesta Shirima akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla na rejareja wa Manispaa ya Iringa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha Kampuni ya Ever Green Wood iliyopo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nk2ezAe3YEQ/XkrtbZLBvJI/AAAAAAALdzY/XVq-lw4fNSwS0Nj3lcv4wI7YbxZeA3k6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA IRINGA
Na Veronica Kazimoto,Iringa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambapo kwa sasa inafanya kampeni hiyo katika Mkoa wa Iringa na wilaya zake ikitoa elimu ya kodi kwa kuwatembelea wafanyabiashara mbalimbali kwenye biashara zao.
Akizungumzia kampeni hiyo, Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi Bi. Rose Mahendeka alisema kuwa TRA imejipanga kuwafikia wafanyabiashara mahali walipo ili kuwapatia elimu ya kodi ikiwa ni pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FAY9OS-iXu8/XutZIFBRB7I/AAAAAAALuco/nC_Cg6dfJyYorPI97ed5LgQ4kIzM1nldACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA: KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI - MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FAY9OS-iXu8/XutZIFBRB7I/AAAAAAALuco/nC_Cg6dfJyYorPI97ed5LgQ4kIzM1nldACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-3AAA-3-1024x682.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-4AAA-1-1024x682.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLMVNjm7fVg/XlerjdrTZ_I/AAAAAAALfrs/awiQ38Vm7t0F7eBb_p-1KFS_9APvNnq4gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAFANYABIASHARA 1,950 WAPATIWA ELIMU YA KODI MKOANI IRINGA
Jumla ya wafanyabiashara 1,950 wa Mkoa wa Iringa wamefikiwa na kupatiwa elimu ya kodi wakati wakampeni ya elimu kwa mlipakodi iliyofanyika kuanzia tarehe 17 hadi 27 Februari,2020.
Kampeni hiyo iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kuwafikia na kuwaelimisha baadhi ya wafanyabiashara wa Wilaya za Kilolo, Manispaa ya Iringa na Mufindi.
Akizungumza mara baada ya kuhitimisha kampeni hiyo mkoani humo, Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi wa TRA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U6nqs6wL0aw/XmnOcESjz7I/AAAAAAAAGu0/buBr_a3MDAwhYI1RyRbPXxYbVbvKytjrgCLcBGAsYHQ/s72-c/58cb99e0-2500-4061-9177-d515a3bbcefd.jpg)
WAFANYABIASHARA MPAKA WA KASUMULU WAIPONGEZA TRA KWA KUWAPA ELIMU YA KODI
Wafanyabiashara katika mpaka wa Kasumulu unaotenganisha nchi za Tanzania na Malawi uliopo wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kutoa elimu ya Kodi ambayo inawaongezea uelewa wa masuala ya Kodi na ari ya kuilipa kwa hiari.
Hayo yameyasemwa na wafanyabiashara wa mpaka wa Kasumulu mara baada ya kutembelewa katika b8ashara zao na kupewa elimu ya ulipaji kodi na maofisa wa TRA wanaofanya kampeni maalumu ya elimu ya Kodi ya mkoa...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?
10 years ago
MichuziMGOMO WA WAFANYABIASHARA IRINGA BAADHI WAGOMA KUSHIRIKIA
10 years ago
StarTV15 Apr
Elimu ulipaji kodi yachangia migomo wafanyabiashara.
Na Zephania Renatus,
Kilimanjaro.
Ukosefu wa elimu juu ya sheria ya ulipaji kodi kwa wafanyabiashara ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha migomo ya mara kwa mara ya wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amesema hayo mjini Moshi katika mkutano na wafanyabiashara na uongozi wa Mamlaka ya Mapato TRA mkoani humo uliolenga kujadili kero mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara.
Miongoni mwa changamoto zinazowakabili...
10 years ago
VijimamboZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUTOKA MIKOA YA MBEYA,IRINGA,NJOMBE KUHUDHURIA MAONESHO NCHINI AFRIKA KUSINI
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/wafanyabiashara-zaidi-100-kutoka-mikoa.html#sthash.nKhTlXrj.dpuf
Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change...