Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Amiri Manento amesema jambo kubwa alilolipitia wakati wa uongozi wake lilikuwa ni kifo cha mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi baada ya kupigwa bomu na polisi, mkoani Iringa mwaka 2012.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi
NA SHABANI MATUTU,DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) aliyemaliza muda wake, Jaji Amir Manento, ameonyesha kutofurahishwa na Serikali kushindwa kutekeleza ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Jaji Maneto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo, Bahame Nyanduga na makamishna wake.
“Pamoja na kustaafu, jambo...
10 years ago
Michuzi20 Aug
CHADEMA YAKANA KUHUSIKA NA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kesi mauaji ya Mwangosi yanguruma
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Ali Ameir: Sitasahau mauaji ya Mwembechai
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ali-Ameir-October20-2014.jpg)
Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE nyumbani kwake Donge Kichavyani, katika Shehia ya Mbiji, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja,...
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.
Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Marekani yalaani mauaji ya mwandishi
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Jordan yalaani mauaji ya Mwandishi
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa