Kesi mauaji ya Mwangosi yanguruma
Kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, marehemu Daudi Mwangosi inayomkabili aliyekuwa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G. 2573 Pacificus Cleophase jana ilianza kusikilizwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.
Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kesi ya vigogo Suma JKT yanguruma
MEJA Jenerali, Dk Adam Mwamulange ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), lilipewa jukumu la kununua vifaa vya Kampuni ya Takopa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Msata hadi Bagamoyo.
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s72-c/fuime_2.jpg)
GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s1600/fuime_2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_100557_001.jpg)
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BL7ffa8fjoc/Xnxd-8PWteI/AAAAAAAAI3A/rPPCQICNfIMspYar5UxMxC29Jk4Xe-JYwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_101415_806.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0lTGQFCnYo/XnylgUVdMQI/AAAAAAAAI3g/4jj4AoCrXuE8KdlcgYiEGDqvsdWTDT8pQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’
11 years ago
Habarileo02 Mar
36 kizimbani kwa kesi za mauaji
WATUHUMIWA 36 wa kesi 11 za mauaji, wanatarajiwa kupandishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora, ambayo inaendelea na kikao chake mkoani hapa.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Tabora kinara kesi za mauaji
IMEELEZWA kuwa Kanda za Dar es Salaam zinaongoza kwa kuwa na mashauri mengi katika Mahakama huku Kanda ya Tabora ikiwa kinara kwa kesi za mauaji.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
‘Kesi za mauaji ya albino ziharakishwe’