Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kada Chadema ashinda udiwani akiwa gerezani

Kada mwingine wa Chadema ameukwaa uongozi kwa staili ya aina yake baada ya wananchi kumchagua kuwa diwani wa Kata ya Lusaka akiwa gerezani ambako anatumikia kifungo cha miezi sita kwa kosa la kupigana hadharani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Apata maambukizi akiwa gerezani

Nyota wa Iran, Fatemeh Khishvand aliyekuwa amepata virusi vya corona akiwa gerezani, kulingana na wakili wake.

 

9 years ago

Global Publishers

Simulizi ya AY: Ashinda medali za kuigiza na tenisi akiwa shuleni

AY (2)MPENDWA msomaji wa simulizi hii tamu, wiki iliyopita tuliishia pale AY alipoamua kufyeka uwanja wa mpira nyuma ya nyumba yao na kuanzisha timu aliyoiita Barcelona kwa mapenzi aliyonayo kwa timu hiyo ya Hispania tangu mwaka 1993 hadi sasa ambapo bado ni shabiki mkubwa.

ENDELEA NAYE…

Ni safari nyingine mwanana naianza ya kwenda kuonana na AY baada ya kutoka nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ hivi karibuni, nafika eneo la Mikocheni kulipo na ofisi yao ya Mkasi TV. Namkuta akiwa na waandaaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kada Chadema arejesha fomu kuwania Nkwela

KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Daniel Ngogo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkwela.

 

11 years ago

Habarileo

Kada maarufu Chadema Iringa afariki dunia

ALIYEKUWA akiandaliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Iringa Mjini, Gervas Kalolo (52) alitarajiwa kuzikwa jana katika makaburi ya Mtwivilla mjini Iringa. Kalolo alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne jijini Dar es Salaam, alikokuwa ameenda kwa shughuli zake binafsi.

 

11 years ago

Michuzi

MDAU KIZITO ASHINDA MILIONI 10 ZA 'CHAMPIONI MAHELA' AKIWA KWENYE DALADALA

BAADA ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye, mshindi wa milioni 10 amepatikana kupitia droo ya Shinda Mahela na Championi ambaye ni Kizito George Chuka.
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema

IMG_20141212_123949

Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).

Na Daniel Makaka, Sengerema.

Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Fransico Kimasa Shejamabu  ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.

Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani