UVCCM Zanzibar wamkaanga Warioba
NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alisema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba hayakubaliki na kwamba yamekosa mashiko, uzalendo na nguvu ya kujenga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Sep
UVCCM wamvaa Jaji Warioba
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba, aingie mtaani kupambana akiwa na chama cha siasa badala ya kuendelea kutumia mwamvuli wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Tamko hilo lilitolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka alipozungumza na mjini Dodoma nje ya viwanja vya Bunge mjini hapa .
Shaka alisema...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UVCCM: Tume ya Warioba si Alpha na Omega
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, amesema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba si Alpha na Omega, kiasi cha...
10 years ago
Habarileo07 Aug
UVCCM Zanzibar watabiri ushindi
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) upande wa Zanzibar, umesema unaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete kwamba CCM imejiandaa kushinda na kushika dola kwa sababu inao uzoefu wa kuongoza nchi.
11 years ago
Habarileo19 Dec
UVCCM waapa kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema itaendelea kuyalinda na kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 huku wakiwaasa wapinga mapinduzi kuwa wananchi wa Zanzibar, hawatakubaliani na hoja yao hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DR1lWP7aC61yfOB1eszbWQhz7WcrQ2YieEgTsgYI4tgaNBkfPGcktuwmhDsuNBDxgyFA84GnC0yk5MclqaXaqSH/1uv1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s72-c/IMG_0105.jpg)
DKT. SHEIN AYAPOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s1600/IMG_0105.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s6n4qzxaz1c/VLIygb3YiyI/AAAAAAAG8q8/RptoDvHvwPM/s1600/IMG_0090.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 May
Wabunge wamkaanga Magufuli
10 years ago
Vijimambo11 Jan
MATEMBEZI YA VIJANA 500 (UVCCM) WA MIKOA YA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed2f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed4f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed5f.jpg)