Mzee Kingunge ameniacha na mshangao
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alipoamua kuachana na chama hicho yaliibuka maswali mengi kuliko majibu na hata Profesa Ibrahim Lipumba alipoukataa wadhifa wake wa uenyekiti Taifa wa CUF kwa sababu tu Edward Lowassa amepitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais, pia watu walihoji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge
Jabir Idrissa NANI katika CCM waliopo sasa, akiwemo Mwenyekiti wao Jakaya Mrisho Kikwete, makamu Philip Mangula na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana, anayekijua kwa ufasaha chama hiki – asili yake, itikadi yake, sera yake, malengo yake – […]
The post Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qg6qsIbqT-LqVjHFnxzM09HS7MW6Wc4nstX-3tk9oIMeIjKo*zvQ7OB-Ykwqg5xuKuvdkreM0tdg5NUfoAOomLg/BREAKINGNEWS.gif)
MZEE KINGUNGE: SI SAHIHI KUMSHAMBULIA JAJI WARIOBA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Rw0WFHT4aFKB9O-0si*aziWBtRbr6BT6rqG-j*azpHnsVE0gpOCMkKT2a3bwTxDvmaaO20MTFAPnfUA0fEdf9/kingunge1.jpg?width=650)
ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Magreth Kinabo, Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma kutoa mapendekezo yake ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.
Aidha Mzee Kingunge...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s72-c/unnamedb.jpg)
Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s640/unnamedb.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO