Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Kingunge ameniacha na mshangao

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alipoamua kuachana na chama hicho yaliibuka maswali mengi kuliko majibu na hata Profesa Ibrahim Lipumba alipoukataa wadhifa wake wa uenyekiti Taifa wa CUF kwa sababu tu Edward Lowassa amepitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais, pia watu walihoji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru. Mwanasiasa mkongwe nchini ambaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Kingunge Ngombale Mwiru hivi punde wakati akiongea na wanahabari jijini Dar ametangaza kuachana na chama hicho maana kimeshindwa kuheshimu katiba yake, asema hajiungi na chama chochote ila yupo upande wa mabadiliko.

 

9 years ago

Habarileo

Mzee Kingunge ang’oka CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge

Jabir Idrissa NANI katika CCM waliopo sasa, akiwemo Mwenyekiti wao Jakaya Mrisho Kikwete, makamu Philip Mangula na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana, anayekijua kwa ufasaha chama hiki – asili yake, itikadi yake, sera yake, malengo yake – […]

The post Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

MZEE KINGUNGE: SI SAHIHI KUMSHAMBULIA JAJI WARIOBA!

MWANASIASA Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema si sawa kumshambulia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba wakati akichangia katika Majadiliano ya Bunge zima kwa sura ya kwanza na sita ya Bunge Maalum la Katiba hivi…

 

11 years ago

GPL

ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisisitiza jambo. Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa kunipa uzima siku hii ya leo na nikaweza kuandika haya unayoyasoma. Wiki iliyopita nilimsikiliza kwa makini sana mkongwe wa siasa nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru alipokuwa akitoa mchango wake katika Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Jaji Warioba. Kabla ya kusimama na kuongea, mzee Kingunge nilikuwa najiuliza ni nani wa kutuliza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini

PG4A5091

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Na Magreth Kinabo, Dodoma

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale  Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma  kutoa mapendekezo yake  ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi  na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.

 Aidha Mzee  Kingunge...

 

10 years ago

Michuzi

Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo

MWANASIASA mkongwe nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru, amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutofanya dhihaka ya kumpendekeza kada yoyote kuwa mgombea wake wa urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwani kwa kufanya hivyo kitaanguka.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo

Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio

The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

UVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO

 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini-Unguja ndugu Mbarouk Mrakib katikati akizungumza na Waandishi wa habari huko ofisini kwake Bububu kuhusu mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuomba kupatikana kwa Kamanda Mpya wa UVCC Taifa baada ya Mzee Kingunge kuvuliwa Ukamanda huo. Kulia kwake ni Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Canal Msaafu Masoud Ali Khamis na kushoto ni Mjumbe wa Kamati tendaji UVCCM Wilaya Khadija Ramadhan Abdu. Picha na Faki Mjaka- Maelezo Zanzibar. Mwenyekiti wa UVCCM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani