ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisisitiza jambo. Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa kunipa uzima siku hii ya leo na nikaweza kuandika haya unayoyasoma. Wiki iliyopita nilimsikiliza kwa makini sana mkongwe wa siasa nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru alipokuwa akitoa mchango wake katika Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Jaji Warioba. Kabla ya kusimama na kuongea, mzee Kingunge nilikuwa najiuliza ni nani wa kutuliza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MZEE KINGUNGE: SI SAHIHI KUMSHAMBULIA JAJI WARIOBA!
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale
11 years ago
Michuzi
Ufafanuzi wa Serikali kuhusu tuzo aliyotunukiwa Jaji Warioba

Na Magreth Kinabo, Maelezo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka kwa kuwa...
10 years ago
Michuzi
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE


11 years ago
Tanzania Daima07 May
Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?
BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...
10 years ago
Vijimambo
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA


11 years ago
Habarileo26 Apr
Kingunge- Ni makosa kumshambulia Warioba
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge wa Bunge Maalumu, Kingunge Ngombale-Mwiru, amesema si halali kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko, Jaji Joseph Warioba na ameonya wanaotoa lugha chafu dhidi yake, wasitumie Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama kinga yao.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Alichosema waziri wa Uingereza kuhusu ujangili nchini