Ufafanuzi wa Serikali kuhusu tuzo aliyotunukiwa Jaji Warioba
![](http://4.bp.blogspot.com/-3LYTiUcdj6Y/U1uewqvxPLI/AAAAAAAA9_8/zf3coGvVtE8/s72-c/D92A1183.jpg)
Rais Kikwete akimtunuku Nishani, Daraja la Kwanza, ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia alikuwa Mwenyekiti Tume ya kurekebisha Katiba Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika ukumbi wa mikutano, Ikulu jijini Dar es Salaam Aprili 25, 2014.
Na Magreth Kinabo, Maelezo
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka kwa kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Rw0WFHT4aFKB9O-0si*aziWBtRbr6BT6rqG-j*azpHnsVE0gpOCMkKT2a3bwTxDvmaaO20MTFAPnfUA0fEdf9/kingunge1.jpg?width=650)
ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Jaji Warioba aishangaa Serikali
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FIxEaWdQ_xc/VmbaA2of3RI/AAAAAAAIK9o/aAxjK3IopGA/s72-c/AhxkvK1N06fKMFqELXoXGiWC3eZkwaWLcexyz4QD9ff6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu wanajeshi wastaafu kudai Sh. Milioni 3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Gazeti la Kiingereza la The East African, Toleo Na. 1030 lililochapishwa mwishoni mwa wiki, Jumamosi, Julai 26, 2014, limeandika habari yenye kichwa cha habari “Ex-soldiers want $3m for covert Congo operation”, ikiwa na maana kuwa wanajeshi wastaafu wanadai kulipwa dola za Marekani milioni tatu kwa kushiriki operesheni ya siri katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Inadaiwa katika habari hiyo kwa zaidi ya wanajeshi 400...
11 years ago
Habarileo01 May
Serikali yatetea tuzo yake kwa Warioba
NISHANI ya Kuuenzi Muungano aliyopewa Jaji Joseph Warioba, haikumaanisha kumkejeli, bali amepewa kwa heshima kama ilivyo kwa viongozi wengine waliopewa nishani hiyo.