Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
 Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu namna ya kuadhimisha siku ya Uhuru ya tarehe 9/12/2015 na kusema kuwa siku hiyo sio siku ya mapumziko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FIxEaWdQ_xc/VmbaA2of3RI/AAAAAAAIK9o/aAxjK3IopGA/s72-c/AhxkvK1N06fKMFqELXoXGiWC3eZkwaWLcexyz4QD9ff6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu wanajeshi wastaafu kudai Sh. Milioni 3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Gazeti la Kiingereza la The East African, Toleo Na. 1030 lililochapishwa mwishoni mwa wiki, Jumamosi, Julai 26, 2014, limeandika habari yenye kichwa cha habari “Ex-soldiers want $3m for covert Congo operation”, ikiwa na maana kuwa wanajeshi wastaafu wanadai kulipwa dola za Marekani milioni tatu kwa kushiriki operesheni ya siri katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Inadaiwa katika habari hiyo kwa zaidi ya wanajeshi 400...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P9evXPy__c8/VmbWY0Rv_TI/AAAAAAADDXM/FphhharrZBA/s72-c/IMG-20151208-WA0089.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KISUKARI DUNIANI ITAADHIMISHWA KESHO NOVEMBA 14-2014.
SERIKALI imesema gharama za kutibu mgonjwa wa kisukari kwa mwaka hapa nchini ni sh.408,000 na kuwa watu wengi wamekuwa wakiugua ugonjwa huo bila ya wao kujitambua.
Imeelezwa kuwa utafiti uliofanya mwaka 2012 katika wilaya 50 nchini ulionyesha ya kuwa asilimia 9.1 ya watu huugua ugonjwa huo bila wenyewe kujua.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Naibu Waziri wa Afya Kebwe Stephen wakati akitoa tamko la serikali kuhusu siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s72-c/DSC04406.jpg)
SSRA yatoa ufafanuzi kuhusu Kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s640/DSC04406.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ47uTNjpsk/VVtjw3Bsi5I/AAAAAAABTio/qAf-u-uQ5k4/s640/SSRA.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais
Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s72-c/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Wizara ya afya yatoa ufafanuzi maswali ya Wananchi kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s640/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema amekuwa akipokea maoni, maswali na ushauri kutoka kwa wananchi wakitaka kujua jitihada mbalimbali za Serikali za kukabiliana na homa kali ya mapafu na amewaagiza wataalamu wake kuanza kujibu maswali.
Waziri Ummy amesema maswali, maoni na ushauri huo unatoka kwa wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na kituo cha wizara cha kupokea simu kuhusu ugonjwa wa homa ya...