Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge- Ni makosa kumshambulia Warioba

MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge wa Bunge Maalumu, Kingunge Ngombale-Mwiru, amesema si halali kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko, Jaji Joseph Warioba na ameonya wanaotoa lugha chafu dhidi yake, wasitumie Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama kinga yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MZEE KINGUNGE: SI SAHIHI KUMSHAMBULIA JAJI WARIOBA!

MWANASIASA Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema si sawa kumshambulia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba wakati akichangia katika Majadiliano ya Bunge zima kwa sura ya kwanza na sita ya Bunge Maalum la Katiba hivi…

 

11 years ago

GPL

ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisisitiza jambo. Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa kunipa uzima siku hii ya leo na nikaweza kuandika haya unayoyasoma. Wiki iliyopita nilimsikiliza kwa makini sana mkongwe wa siasa nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru alipokuwa akitoa mchango wake katika Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Jaji Warioba. Kabla ya kusimama na kuongea, mzee Kingunge nilikuwa najiuliza ni nani wa kutuliza...

 

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]

Mzee Ngombale-Mwiru amewatahadharisha wajumbe wasivuke mipaka, akiwaeleza hawakwenda Dodoma kuipiga vijembe timu ya Warioba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chui wakataa kumshambulia, China

Mwanamume mmoja nchini China amenusurika kifo katika hifadhi ya wanyama pori nchini humo, baada ya kujirusha ndani ya hifadhi hiyo akisema alitaka 'kuwalisha' wanyama hao hatari.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM waomba radhi kumshambulia mwandishi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimeomba radhi kwa chama cha waandishi wa habari mkoani humo (MRPC) kutokana na kitendo kilichofanywa na wafuasi wa chama hicho tawala, kwa kumpiga mwandishi wa habari wa gazeti hili na kusema kuwa waliohusika watachukuliwa hatua.

 

11 years ago

Mwananchi

Kortini kwa tuhuma za kumshambulia mtoto

Mkazi mmoja wa Kitangiri jijini Mwanza, Sophia Rafael (32), amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata kidole mtoto wake.

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya Kanye West kumshambulia paparazzi yafutwa!

Kanye West na paparazzi aliyemshambulia wamemaliza tofauti zao kwa kumuomba msamaha na kushikana mikono. West alishtakiwa na Daniel Ramos baada ya mwaka 2013 kumshambulia wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles na kesi hiyo ilikuwa isikilizwe wiki ijayo. Wakili wa Ramos, Gloria Allred aliandika maelezo jana Jumanne kuwa kesi hiyo imemalizika […]

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge adaiwa kumshambulia ofisa wa chama chake

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Morogoro Mjini (Chadema), Albanie Marcossy anatafutwa na Polisi mkoani hapa kwa madai ya kumshambulia kwa kumpiga Katibu Mwenezi wa chama hicho wilaya, Shabani Dimoso.

 

9 years ago

Bongo Movies

Baada ya Baadhi ya Mashabiki Kumshambulia kwa Maneno, JB Asema Haya

Kufuatia kitendo baadhi ya mashabiki kumshabulia kwa maneno makali staa wa Bongo Movies, JB kwa kuonyesha mapenzi yake kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, JB amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwataka wabadilike kimtazamo.

Hakuna kitu muhimu kwenye maisha kama furaha....lakini furaha ina ambatana na kufanya mambo ambayo moyo wako unapenda bila kuvunja sheria.

Kuishi maisha ya kuogopa kitu unachopenda kwa sababu ya watu ni kuinyima furaha roho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani