Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]

Mzee Ngombale-Mwiru amewatahadharisha wajumbe wasivuke mipaka, akiwaeleza hawakwenda Dodoma kuipiga vijembe timu ya Warioba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

11 years ago

Habarileo

Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi

MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini

PG4A5091

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Na Magreth Kinabo, Dodoma

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale  Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma  kutoa mapendekezo yake  ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi  na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.

 Aidha Mzee  Kingunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]

Tazama jinsi wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba walivyomchagua Spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wao wa Kudumu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]

BUNGE maalum la Katiba limekutana leo mjini Dodoma kwa ajili ya kujadili kanuni mbalimbali zitakazotumika kuliendesha Bunge hilo katika vikao vyake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba

>Wajumbe watatu wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa kivutio katika ndani na nje ya Bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

GPL

KINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA

Kingunge Ngombale Mwiru. Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Veterani wa siasa nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, amesema kuwa wote walioponda uteuzi wake katika Bunge la Katiba, wameumbuka na sasa anachokitazama ni kuijenga nchi imara kupitia Katiba Mpya. Kigunge alisema, habebwi na Rais Jakaya Kikwete na kwamba tamko la Chama cha Waganga wa Jadi nchini kuwa yeye ndiye mwakilishi wao, limewaumbua wote waliokuwa wanaponda uteuzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa

Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow” ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani