Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]
Mzee Ngombale-Mwiru amewatahadharisha wajumbe wasivuke mipaka, akiwaeleza hawakwenda Dodoma kuipiga vijembe timu ya Warioba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Habarileo21 Mar
Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi
MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Magreth Kinabo, Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma kutoa mapendekezo yake ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.
Aidha Mzee Kingunge...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba
11 years ago
GPLKINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa