Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM: TULITARAJIA UAMUZI WA KINGUNGE

Aliyekuwa Kamanda Mkuu wa UVCCM, Kingunge Ngombale-Mwiru. Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imesema haijashtushwa na uamuzi wa aliyekuwa Kamanda Mkuu wa jumuiya hiyo, Kingunge Ngombale-Mwiru, kuachana na CCM kwa kuwa tangu awali haukuridhishwa na mwenendo wake kisiasa.   UJumuiya hiyo imesema na ndiyo maana Kingunge alivuliwa wadhifa huo tangu Agosti 15, mwaka huu.   Hata hivyo, UVCCM imesema… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kingunge kuendelea kuwa Kamanda UVCCM

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), limempitisha mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwilu kuendelea kuwa kamanda wa umoja huo.

 

9 years ago

Daily News

Kingunge stripped of top UVCCM post


Kingunge stripped of top UVCCM post
Daily News
VETERAN politician and CCM cadre Kingunge Ngombale-Mwiru has been removed from his post as national commander of the party's youth wing, UVCCM; it was announced in Dar es Salaam. During the youth wing's council meeting held in Dar es Salaam ...

 

9 years ago

Mwananchi

UVCCM wamjibu Kingunge, wasema kakosa uungwana

Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya CCM (UVCCM) imesema uamuzi wa aliyekuwa kada wa chama hicho, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kukihama chama hicho ni ukosefu wa uungwana  katika dhana ya siasa pamoja na uimla usiokubalika katika siasa za kileo.

 

9 years ago

Michuzi

UVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO

 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini-Unguja ndugu Mbarouk Mrakib katikati akizungumza na Waandishi wa habari huko ofisini kwake Bububu kuhusu mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuomba kupatikana kwa Kamanda Mpya wa UVCC Taifa baada ya Mzee Kingunge kuvuliwa Ukamanda huo. Kulia kwake ni Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Canal Msaafu Masoud Ali Khamis na kushoto ni Mjumbe wa Kamati tendaji UVCCM Wilaya Khadija Ramadhan Abdu. Picha na Faki Mjaka- Maelezo Zanzibar. Mwenyekiti wa UVCCM...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru

KINGU

Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-

1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...

 

11 years ago

Mwananchi

Tulitarajia haya kwenye Mchakato wa Katiba

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea mkoani Dodoma, Watanzania wamekuwa wakiendelea kutoa maoni yao kwa lengo la kuuboresha na kueleza matarajio yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Tulitarajia nini bila tume huru ya uchaguzi?

Kwa muda mrefu sasa, tumekuwa tukionya kuhusu udanganyifu katika chaguzi mbalimbali zinazofanyika katika nchi yetu na kusema hiyo hasa ndiyo sababu inayowakwaza wananchi wengi kiasi cha kutojitokeza kupiga kura.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kingunge: Sijabebwa

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewashangaa watu waliomtuhumu kuwa amebebwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani