TAWOMA waomba kupatiwa mafunzo
NA MWANDISHI WETU
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele, amesema wanakabiliwa na changamoto ya elimu ya uchimbaji, biashara na madini.
Hayo aliyasema jana mjini Dar es Salaam, wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho, unaofanyika kwa siku mbili kuanzia jana, uliofunguliwa na Kamishna Msaidizi wa Madini, Hamisi Komba, kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
“Lengo la chama chetu ni kuwaunganisha wanawake wachimbaji pamoja na kusaidiana kutoka mahali...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Wachimbaji Wadogo wa Madini Manyoni Waomba kupatiwa Umeme


Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Mjiolojia Chone Malembo (kulia)akibadilishana mawazo na mmiliki wa mgodi wa Paulo Msalaba na Washirika, Martin Thomas (kushoto) katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020.

10 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
11 years ago
Michuzi
WAJASILIAMALI KUPATIWA MAFUNZO IRINGA


Na Denis Mlowe,Iringa
KAMPUNI ya Vannedrick Tanzania limited (VTL) ya jijini Dar salaam kwa kushirikiana na Kituo cha Maendeleo,Haki na Utetezi TCDA cha mjini Iringa wameandaa semina ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Walimu Karagwe waomba mafunzo JKT
WALIMU wa shule za msingi na sekondari wilayani Karagwe, wameitaka serikali kurudisha mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria, ili kuwajengea ukakamavu katika maeneo yao ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Oct
TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo
MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Zahanati Ibutamisuzi kupatiwa solar
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, ameahidi kuipatia Zahanati ya Ibutamisuzi iliyopo Kata ya Mbutu umeme wa jua (solar). Kingu alitoa ahadi hiyo juzi alipofanya ziara katika Kijiji...
11 years ago
Mwananchi18 Oct
Watoto wapelekwe kupatiwa chanjo
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Vijiji nane kupatiwa umeme
VIJIJI nane vya wilaya ya Nzega vinatarajia kunufaika na mradi wa umeme kupitia Mpango Kabambe wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Naibu Waziri...
9 years ago
MichuziChangamoto za Pamba Kupatiwa Ufumbuzi
Akiongea wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa zao hilo kutoka Kenya, Brazili na vituo mbalimbali vya utafiti vya hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya White sand hivi karibuni,Bwana Mundeme amesema kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa nguvu za ziada...