Changamoto za Pamba Kupatiwa Ufumbuzi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana Zidikheri Mundeme amewataka wadau wa zao la pamba kuwalinda wakulima wadogo wa zao hilo kwa kuwapatia mbegu bora na madawa sahihi ili kuboresha zao hilo.
Akiongea wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa zao hilo kutoka Kenya, Brazili na vituo mbalimbali vya utafiti vya hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya White sand hivi karibuni,Bwana Mundeme amesema kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa nguvu za ziada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s72-c/unnamed.jpg)
Changamoto za hedhi kwa wasichana zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu
![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tdMBhfVHXJY/Xle-x_8SkJI/AAAAAAALfss/_2h8RqF6XdcEeCe5jjeJoRT5FAps5cTHwCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
TBS Yazipatia Ufumbuzi Changamoto za Wadau Mikutano ya Mashauriano
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdMBhfVHXJY/Xle-x_8SkJI/AAAAAAALfss/_2h8RqF6XdcEeCe5jjeJoRT5FAps5cTHwCLcBGAsYHQ/s640/download.png)
Pia linatumia mikutano hiyo kueleza fursa zinazopatikana kwenye shirika hilo ikiwa ni pamoja na kuwapatia elimu wajasiriamali ili waweze kupatiwa bure alama ya ubora.
Mikutano hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s72-c/0.1UAP5.jpg)
KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP
![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s640/0.1UAP5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--6W2I83BmfI/VUxLgrxAv4I/AAAAAAABNqs/d1k3pQncsqY/s640/0.1UAP3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hc1LJuR7YNKx-0HkET*StZUYeaR41R8eVa3UlDWX2Ei-GlHeZkL7fBLZgM06Kwd0AqoAKZunU8AadttonF53Rj9/WaziriwaKazinaAjiraBi.GaudensiaKabaka..jpg?width=650)
UFUMBUZI WA MGOMO WA MADEREVA WANAPATIKANA
11 years ago
Habarileo26 May
Pinda ataka ufumbuzi uhaba wa madawati
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Mkoa wa Rukwa uhakikishe unamaliza tatizo la upungufu wa madawati ili watoto wa shule za msingi wasiendelee kukaa chini.
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Magufuli, Mwakyembe tafuteni ufumbuzi wa hili
UJENZI wa barabara ya Morogoro kutoka Posta hadi Kimara ulipoanza, kila raia anayetumia njia hiyo ya kuingia na kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam alishukuru na kuipongeza sana...
10 years ago
StarTV03 Dec
Bodi ya PSPTB yaagizwa kutafuta ufumbuzi.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Wizara ya Fedha imeitaka Bodi ya Wataalam wa Manunuzi na Ugavi (PSPTB) kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha.
Wizara hiyo pia imewataka waajiri kuacha kuwaajiri watumishi ambao hawajasajiliwa na bodi hiyo kufanya shughuli za ununuzi na ugavi.
Akifungua Mkutano wa 5 wa bodi ya PSPTB jijini Arusha, Naibu Waziri wa Fedha Adam Kighoma Malima ameiagiza bodi hiyo kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kutokana na kila...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Jokofu la maiti Bunda lapatiwa ufumbuzi
SERIKALI imeeleza kuwa tatizo la jokofu la kuhifadhia maiti lililokuwa limeharibika katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara limetafutiwa ufumbuzi. Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto