Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS Yazipatia Ufumbuzi Changamoto za Wadau Mikutano ya Mashauriano

Na Mwandishi Wetu, MwanzaSHIRIKA la la Viwango Tanzania (TBS), limeendelea kutumia mikutano ya mashauriano kati ya Serikali, wafanyabiashara na wawekezaji inayofanyika maeneo mbalimbali nchini kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali zinazowakabili wadau hao na kuwapatia elimu kuhusiana na majukumu ya shirika hilo.
Pia linatumia mikutano hiyo kueleza fursa zinazopatikana kwenye shirika hilo ikiwa ni pamoja na kuwapatia elimu wajasiriamali ili waweze kupatiwa bure alama ya ubora.
Mikutano hiyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Changamoto za Pamba Kupatiwa Ufumbuzi

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana Zidikheri Mundeme amewataka wadau wa zao la pamba kuwalinda wakulima wadogo wa zao hilo kwa kuwapatia mbegu bora na madawa sahihi ili kuboresha zao hilo.
Akiongea wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa zao hilo kutoka Kenya, Brazili na vituo mbalimbali vya utafiti vya hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya White sand hivi karibuni,Bwana Mundeme amesema kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa nguvu za ziada...

 

10 years ago

Michuzi

Changamoto za hedhi kwa wasichana zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu

  Meneja Biashara wa Idara ya Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Grace Lyon akiwapa elimu kuhusiana na matumizi ya vitambaa vya hedhi baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi iliyopo Hydom Mkoa wa Manyara.Vodacom Foundation kupitia mradi wake wa Girl Pawa imelenga kuwawezesha wasichana  kutimiza ndoto za maisha yao kwa kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowafanya  wasibaki nyuma katika masomo, kutojiamini na utoro mashuleni wanapokuwa kwenye vipindi vya hedhi.Mradi huu...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI

Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na ushauri wa kikao cha kamati ya Mashauriano ya Bunge maalum la katiba kilichofanyika jana julai,24,2004 katika Ofisi ndogo za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.Mh. Yahya alisoma taarifa hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Samuel Sitta.Baadhi ya Wanahabari kutoka...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa amani, umoja na utulivu wa nchi utakaofanyika kuanzia leo na kesho ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa, serikali, dini, asasi za kiraia na wazee. Kulia ni Msaidizi wa mkurugenzi huyo, Gallus Abedi na Ofisa Mipango, Edger Atubonekisye. Mkutano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau kujadili changamoto za elimu

WADAU wa elimu nchini wameandaa kongamano litakalojadili changamoto katika sekta ya elimu na jinsi gani ya kukabiliana nazo. Kongamano hilo litakalofanyika leo Ubungo Plaza, Dar es Salaam, litajumuisha walimu wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AFUTA MIKUTANO YOTE YA WADAU WA KILIMO ILIYOPANGWA KUFANYIKA MWEZI MACHI NA APRILI 2020 ILI KUJIEPUSHA NA CORONA



Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akitoa taarifa ya kufuta mikutano ya wadau wa kilimo wakati akizungumza Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 22 Machi 2020.


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

Kutokana na kuwepo kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu ujulikanao kama corona Wizara ya Kilimo imeamua kufuta mikutano yote ya wadau wa mazao ya kilimo iliyopangwa kufanyika kati ya mwezi Machi na Aprili, 2020 hadi hapo baadae maelekezo yatakapotolewa na kuziagiza Bodi za mazao na Taasisi...

 

10 years ago

Habarileo

China yazipatia nchi tatu dola milioni 85 kukabili ebola

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza kuwa, kwa mara ya nne katika kipindi kifupi inapeleka msaada wa dawa, vifaa na mahitaji mengine ya tiba yenye thamani ya dola za Marekani milioni 85 kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa nchi tatu za Afrika Magharibi, ambazo zinapambana na ugonjwa huo, ambao mpaka sasa umeua zaidi ya watu 4,000.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wadau mbali mbali wakutana kutoa suluhisho la changamoto zinazoikabili sekta ya utalii katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara

Akizungumza  na waandishi wa habari katika mdahalo uliandaliwa na kampuni ya Hospitality Round Table (HRT),  ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Dr. ADELHELM MERU Katibu mkuu wizara ya Maliasili na Utalii alifafanua kuwa, sekta ya utalii hapa Tanzania inafanya vizuri ambapo kumekuwa na ongezeko la wageni kutoka nje, na hoteli za kufikia wageni zimeongezeka kwa kasi mara mbili kulinganisha na idadi ya  mwaka jana.

Alifafanua kuwa, pamoja na matumaini yanayoonekana katika sekta hii lakini...

 

10 years ago

GPL

UFUMBUZI WA MGOMO WA MADEREVA WANAPATIKANA

Waziri wa kazi na ajira mhe.Gaudencia Kabaka Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Pia  Madereva kusoma, Serikali na Madereva wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia mbadala ya kutumika. Yaliokuwa malalamiko ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani