TBS Yazipatia Ufumbuzi Changamoto za Wadau Mikutano ya Mashauriano
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdMBhfVHXJY/Xle-x_8SkJI/AAAAAAALfss/_2h8RqF6XdcEeCe5jjeJoRT5FAps5cTHwCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Na Mwandishi Wetu, MwanzaSHIRIKA la la Viwango Tanzania (TBS), limeendelea kutumia mikutano ya mashauriano kati ya Serikali, wafanyabiashara na wawekezaji inayofanyika maeneo mbalimbali nchini kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali zinazowakabili wadau hao na kuwapatia elimu kuhusiana na majukumu ya shirika hilo.
Pia linatumia mikutano hiyo kueleza fursa zinazopatikana kwenye shirika hilo ikiwa ni pamoja na kuwapatia elimu wajasiriamali ili waweze kupatiwa bure alama ya ubora.
Mikutano hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziChangamoto za Pamba Kupatiwa Ufumbuzi
Akiongea wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa zao hilo kutoka Kenya, Brazili na vituo mbalimbali vya utafiti vya hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya White sand hivi karibuni,Bwana Mundeme amesema kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa nguvu za ziada...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s72-c/unnamed.jpg)
Changamoto za hedhi kwa wasichana zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu
![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s72-c/1.jpg)
KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4X0mft_J_ag/U9JNYj0qzhI/AAAAAAAF6NQ/LMsNuLoUXtg/s1600/2.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Wadau kujadili changamoto za elimu
WADAU wa elimu nchini wameandaa kongamano litakalojadili changamoto katika sekta ya elimu na jinsi gani ya kukabiliana nazo. Kongamano hilo litakalofanyika leo Ubungo Plaza, Dar es Salaam, litajumuisha walimu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s72-c/CNT_0904.jpg)
WAZIRI HASUNGA AFUTA MIKUTANO YOTE YA WADAU WA KILIMO ILIYOPANGWA KUFANYIKA MWEZI MACHI NA APRILI 2020 ILI KUJIEPUSHA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s640/CNT_0904.jpg)
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akitoa taarifa ya kufuta mikutano ya wadau wa kilimo wakati akizungumza Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 22 Machi 2020.
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Kutokana na kuwepo kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu ujulikanao kama corona Wizara ya Kilimo imeamua kufuta mikutano yote ya wadau wa mazao ya kilimo iliyopangwa kufanyika kati ya mwezi Machi na Aprili, 2020 hadi hapo baadae maelekezo yatakapotolewa na kuziagiza Bodi za mazao na Taasisi...
10 years ago
Habarileo26 Oct
China yazipatia nchi tatu dola milioni 85 kukabili ebola
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza kuwa, kwa mara ya nne katika kipindi kifupi inapeleka msaada wa dawa, vifaa na mahitaji mengine ya tiba yenye thamani ya dola za Marekani milioni 85 kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa nchi tatu za Afrika Magharibi, ambazo zinapambana na ugonjwa huo, ambao mpaka sasa umeua zaidi ya watu 4,000.
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Wadau mbali mbali wakutana kutoa suluhisho la changamoto zinazoikabili sekta ya utalii katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara
Akizungumza na waandishi wa habari katika mdahalo uliandaliwa na kampuni ya Hospitality Round Table (HRT), ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Dr. ADELHELM MERU Katibu mkuu wizara ya Maliasili na Utalii alifafanua kuwa, sekta ya utalii hapa Tanzania inafanya vizuri ambapo kumekuwa na ongezeko la wageni kutoka nje, na hoteli za kufikia wageni zimeongezeka kwa kasi mara mbili kulinganisha na idadi ya mwaka jana.
Alifafanua kuwa, pamoja na matumaini yanayoonekana katika sekta hii lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hc1LJuR7YNKx-0HkET*StZUYeaR41R8eVa3UlDWX2Ei-GlHeZkL7fBLZgM06Kwd0AqoAKZunU8AadttonF53Rj9/WaziriwaKazinaAjiraBi.GaudensiaKabaka..jpg?width=650)
UFUMBUZI WA MGOMO WA MADEREVA WANAPATIKANA