Pinda ataka ufumbuzi uhaba wa madawati
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Mkoa wa Rukwa uhakikishe unamaliza tatizo la upungufu wa madawati ili watoto wa shule za msingi wasiendelee kukaa chini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Pinda akiri kuwapo uhaba wa hoteli
11 years ago
Habarileo15 May
Pinda ahoji dhamira kumaliza tatizo la madawati
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza kushangazwa na hatua ya wakurugenzi, mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini kushindwa kutengeneza madawati ili kuwaokoa watoto kutokaa sakafuni, huku vijana wanaoshiriki shindano la Maisha Plus wameweza kutengeneza madawati 30 kwa muda mfupi waliokaa katika kijiji walichopo wilayani Bagamoyo.
11 years ago
MichuziWEKENI MPANGO MAALUM KUMALIZA TATIZO LA MADAWATI RUKWA - MH. PINDA
Ametoa agizo hilo jana usiku (Jumamosi, Mei 24, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa mkoa wa Rukwa mara baada ya kupokea taarifa ya Mkoa huo, Ikulu ndogo, mjini Sumbawanga.
Waziri Mkuu amewasili mkoani Rukwa jana jioni akitokea Dodoma ambapo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye ibada ya kumuweka wakfu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
mhe mizengo pinda akabidhi madawati skuli ya kiembesamaki, zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eof9NweqcHs/VUamcPb6xlI/AAAAAAAHVB8/CUqMi61FJYk/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Habarileo28 Nov
Pinda ataka subira
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema suala la kumtaka ajiuzulu wadhifa wake si jipya, lakini akasema ni vyema kusubiri mjadala wa Bunge wa sakata la Tegeta Escrow ufike mwisho, ndipo hatua stahiki zitajulikana.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Pinda ataka urais
WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Pinda ataka ufugaji wa kibiashara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka wafugaji nchini kufuga kibiashara ili kujikwamua na umaskini. Hayo aliyasema jijini hapa jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu wa wadau wa mifugo, uliyoandaliwa na...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Pinda ataka majibu ndani ya saa 30
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa saa 30 na kutaka kupatiwa majibu, ni kwa nini maelekezo aliyotoa kuhusu kiwanda cha kusindika nyama cha Mbeya, hayajafanyiwa kazi.
10 years ago
StarTV31 Oct
Pinda ataka Tanzania isitegemee wafadhili.
Suala la baadhi ya wafadhili wa Tanzania kubana au kuchelewesha fedha walizoahidi kusaidi bajeti ya nchi linaendelea kuiumiza serikali.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mizengo Pinda, amesema umefika wakati sasa kwa Tanzania kujitegemea kwa mapato ya ndani kwa asilimia 100 badala ya kuegemea kwa wahisani ambao amedai wanakuwa na maslahi yao katika kusaidia.
Hivi karibuni wahisani wamesitisha kutoa fedha hizo kuishinikiza Tanzania kuchukua hatua dhidi ya upotevu wa mabilioni ya fedha kutoka...