WEKENI MPANGO MAALUM KUMALIZA TATIZO LA MADAWATI RUKWA - MH. PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa mkoa wa Rukwa uhakikishe unamaliza tatizo la upungufu wa madawati ili watoto wa shule za msingi wasiendelee kukaa chini.
Ametoa agizo hilo jana usiku (Jumamosi, Mei 24, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa mkoa wa Rukwa mara baada ya kupokea taarifa ya Mkoa huo, Ikulu ndogo, mjini Sumbawanga.
Waziri Mkuu amewasili mkoani Rukwa jana jioni akitokea Dodoma ambapo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye ibada ya kumuweka wakfu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 May
Pinda ahoji dhamira kumaliza tatizo la madawati
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza kushangazwa na hatua ya wakurugenzi, mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini kushindwa kutengeneza madawati ili kuwaokoa watoto kutokaa sakafuni, huku vijana wanaoshiriki shindano la Maisha Plus wameweza kutengeneza madawati 30 kwa muda mfupi waliokaa katika kijiji walichopo wilayani Bagamoyo.
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Rungwe yapania kumaliza tatizo la mabara, madawati
NA MWANDISHI WETU, TUKUYU
HALMASHAURI ya Wilaya Rungwe, imetenga sh. milioni 150 kwenye bajeti yake ya mwaka 2014/2015, kununua vifaa vya maabara na kufunga mifumo imara ya gesi, katika shule zake 28 za sekondari zilizoko wilayani humo.
Kiasi hicho cha fedha kitatengwa kupitia ruzuku ya kukuza mtaji katika Serikali za Mitaa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Veronica Kessy, alisema hayo alipokuwa akielezea mkakati wa kujenga na kutumia maabara kwa wanafunzi wa shule za...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BENKI YA NMB MBEYA YASAIDIA KUPUNGUZA TATIZO LA MADAWATI MASHULENI.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC6Wh2HHOr*bT2iiROEfI-JPgKz2IxrwAlnVIs2dydwrkEYBpjYkL64JWQAEHS2LiFhPinSsl9GG6oIHglWgJz8/Chanzochatatizolakukosanyege.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA
11 years ago
Habarileo10 Jul
Bil 21/- zatengwa kumaliza tatizo la vitabu sekondari
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali imetenga Sh bilioni 21 katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/2015 kwa ajili ya kumaliza tatizo la upungufu wa vitabu kwenye shule za sekondari.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Lowassa amsifu JK kumaliza tatizo la maji Monduli
11 years ago
Habarileo26 May
Pinda ataka ufumbuzi uhaba wa madawati
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Mkoa wa Rukwa uhakikishe unamaliza tatizo la upungufu wa madawati ili watoto wa shule za msingi wasiendelee kukaa chini.
10 years ago
Michuzi19 Sep
MAAJABU YA DAWA YA JIKO KATIKA KUMALIZA NA KUPONYESHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.
JINSI DAWA YA JIKO INAVYO FANYA KAZI.Dawa ya JIKO inasadia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
mhe mizengo pinda akabidhi madawati skuli ya kiembesamaki, zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eof9NweqcHs/VUamcPb6xlI/AAAAAAAHVB8/CUqMi61FJYk/s1600/unnamed%2B(12).jpg)