Bodi ya PSPTB yaagizwa kutafuta ufumbuzi.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Wizara ya Fedha imeitaka Bodi ya Wataalam wa Manunuzi na Ugavi (PSPTB) kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha.
Wizara hiyo pia imewataka waajiri kuacha kuwaajiri watumishi ambao hawajasajiliwa na bodi hiyo kufanya shughuli za ununuzi na ugavi.
Akifungua Mkutano wa 5 wa bodi ya PSPTB jijini Arusha, Naibu Waziri wa Fedha Adam Kighoma Malima ameiagiza bodi hiyo kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kutokana na kila...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SwxQXR-drS8/VDvRiGaLj_I/AAAAAAAGpx4/9i0jMkgUavs/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Wabunge Duniani wakutana kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya kiusalama yanayoikabili Dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-SwxQXR-drS8/VDvRiGaLj_I/AAAAAAAGpx4/9i0jMkgUavs/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZI9gWkQthik/VDvRiAnAgJI/AAAAAAAGpyE/yW1mLrxQGcc/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1hACnVdDrKk/VDvRidWVhOI/AAAAAAAGpx8/EwYSnhOgXzY/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Michuzi24 Feb
PSPTB YAFANYA SEMINA YA UTAFITI KWA WANAFUNZI WA BODI YA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
10 years ago
Michuzi16 Feb
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yatoa mafunzo kwa wataalamu wake
Mafunzo hayo yalifunguliwa jana, na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, Bw, Aziz Kilonge, ambaye aliwaasa wataalam hao kuhakikisha kwamba wanasimamia wanafunzi kwa ukamilifu ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti zinazofanywa.
Aidha, alifafanua kuwa uzingatiaji wa maadili katika kufanya...
9 years ago
StarTV23 Oct
Bodi ya Maji Morogoro yaagizwa kusimamia utunzaji wa mazingira
Serikali imeitaka bodi ya maji ya bonde la Wami/Ruvu mkoani Morogoro kutunza kikamilifu vyanzo vya maji katika bonde hilo kwa kudhibiti uharibifu ambao unaweza kusababisha uhaba mkubwa wa maji kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.
Mikoa hiyo miwili inategemea kwa kiasi kikubwa kupata maji kupitia bonde la Wami/Ruvu ambalo limekuwa na vyanzo vingi kutoka mkoani Morogoro hivyo uharibu unaofanywa katika Milima ya Uluguru ni ishara tosha ya kupoteza vyanzo hivyo.
Mkoa wa Morogoro umejaliwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V-pDJNcDd2Q/Xo3cylbMMJI/AAAAAAAC89Q/7LurTBWkHeY7NVFxpGSOlZXKm6ZGrxtWwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yazindua wimbo maalum wenye lengo la kuhamasisha Wanataaluma
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo, Godfred Mbanyi amesema wimbo huo umejikita zaidi Wanataaluma kujisajili na Bodi na kufanya Mitihani ya Bodi na kubobea zaidi katika Taaluma hiyo.
Mbanyi amesema wimbo huo umetoa ujumbe mahsusi wa majukumu, kazi ambayo Bodi...
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yaendesha warsha ya uandishi bora wa tafiti kwa wataalamu wake
Aziz Kilonge Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa kufunga warsha ya mafunzo ya uandishi bora wa tafiti ili kukidhi hitaji la msingi la kuhitimu taaluma ya ununuzi na ugavi iliyoratibiwa na kuendeshwa na Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kuazia tarehe 21 julai mpaka 25 julai 2014. kwenye ukumbi wa baraza la maaskofu TEC-Kurasini jijini Dar es salaam akiwa katika picha ya pamoja na wakufunzi, washiriki...
10 years ago
Daily News07 Feb
About 2000 candidates to sit for PSPTB examinations
Daily News
THE Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) look forward to registering about 2,000 prospective candidates who are expected to sit for their professional examinations, slated to take place between May 11 – 14, this year in ...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
PSPTB na mageuzi katika kusimamia ununuzi, ugavi
SERIKALI ilianza kufanya mabadiliko ya kiuchumi mwanzoni mwa miaka ya 1990 ili kuhakikisha umma unapata huduma bora na kwa wakati. Wataalamu wa masuala ya uchumi wanasema mageuzi huwa yanaleta manufaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iEwIYiaZszQ/XnJApsHz4hI/AAAAAAALkO4/VNx0efPCfCc8fUHUy3b-lP92Z03PCDr_ACLcBGAsYHQ/s72-c/psptb.jpg)
PSPTB YASIMAMISHA UTOAJI WA MAFUNZO ILI KUEPUKANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iEwIYiaZszQ/XnJApsHz4hI/AAAAAAALkO4/VNx0efPCfCc8fUHUy3b-lP92Z03PCDr_ACLcBGAsYHQ/s400/psptb.jpg)
BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imesitisha utoaji wa mafunzo yaliyopanga kufanyika kuanzia Machi 18 mwaka huu na kuwataka wadau kusubiri hadi pale itakavyopangwa tena.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bi Shamim Mdee, Afisa mwandamizi masoko na uhusiano kwa umma wa Bodi hiyo imeelezwa kuwa kusitishwa kwa mafunzo hayo kumetokana na tamko rasmi la Serikali kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuzuia uwepo wa mikusanyiko ya watu katika maeneo mbalimbali nchini na hiyo ni mara...