PSPTB YASIMAMISHA UTOAJI WA MAFUNZO ILI KUEPUKANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iEwIYiaZszQ/XnJApsHz4hI/AAAAAAALkO4/VNx0efPCfCc8fUHUy3b-lP92Z03PCDr_ACLcBGAsYHQ/s72-c/psptb.jpg)
BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imesitisha utoaji wa mafunzo yaliyopanga kufanyika kuanzia Machi 18 mwaka huu na kuwataka wadau kusubiri hadi pale itakavyopangwa tena.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bi Shamim Mdee, Afisa mwandamizi masoko na uhusiano kwa umma wa Bodi hiyo imeelezwa kuwa kusitishwa kwa mafunzo hayo kumetokana na tamko rasmi la Serikali kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuzuia uwepo wa mikusanyiko ya watu katika maeneo mbalimbali nchini na hiyo ni mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Feb
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yatoa mafunzo kwa wataalamu wake
Mafunzo hayo yalifunguliwa jana, na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, Bw, Aziz Kilonge, ambaye aliwaasa wataalam hao kuhakikisha kwamba wanasimamia wanafunzi kwa ukamilifu ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti zinazofanywa.
Aidha, alifafanua kuwa uzingatiaji wa maadili katika kufanya...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) tawi la Tanga wafanya ziara ya mafunzo PSPTB
Wageni wakiwasili kwenye ofisi za Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa PSPTB, Dr Tesha akitoa hutuba ya ufunguzi kuwakaribisha wanachuo wa mwaka wa pili wa stashahada ya Ununuzi na Ugavi kutoka chuo cha TPSC Utumishi wa Umma tawi la Tanga.
Wanachuo wakimsiliza Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bodi Dr. Tesha.
Mkurugenzi ya Mafunzo, Bw. Godfred Mbanyi akielezea juu ya madaraja ya mitihani ya Bodi na taratibu za kufanya mitihani.
Bw. Ally Songoro kutoka...
10 years ago
Michuzi28 Mar
WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA(TPSC) TAWI LATANGA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO PSPTB
Ziara hiyo ya mafunzo ililenga kujua kazi mbalimbali za Bodi ya wataalam wa ununuzi na Ugavi (PSPTB). Mkurugenzi mkuu Mtendaji wa PSPTB Dr Clemence Tesha, aliupokea ugeni huo, na kuwashukuru kwa kuona nia ya kufanya ziara ya mafunzo. Aidha aliwaelezea umuhimu...
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
VETA yang’ara utoaji mafunzo, ujuzi
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeibuka kidedea katika Maonyesho ya Sabasaba kipengele cha kundi la utoaji mafunzo na ujuzi. Akizungumzia tuzo hizo, Mkurugenzi wa VETA, Zebadiah...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tC3ECvwMQc4/VZpAdmdTMDI/AAAAAAAHnOk/HGut9gH7zt8/s72-c/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
Veta yaibuka mshindi wa kwanza katika eneo la Uendelezaji Ujuzi na Utoaji Mafunzo, Sabasaba
![](http://2.bp.blogspot.com/-tC3ECvwMQc4/VZpAdmdTMDI/AAAAAAAHnOk/HGut9gH7zt8/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
5 years ago
MichuziCHUO CHA KILIMO MATI ILONGA MKOANI MOROGORO CHAPANUA WIGO WA UTOAJI MAFUNZO KWA VITENDO
Shamba la migomba la chuo hicho.
Mratibu wa Masomo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Felix Mrisho (kulia), akizungumzia teknolojia ya kilimo kwa kutumia kitalu nyumba wanayoiendesha kwa kushirikiana na Shirika la Sustainable Agriculture Tanzania (SAT).
Mkuu wa Idara ya Usindikaji chuoni hapo, Moses Chavala, akielezea namna wanavyotoa mafunzo ya usindikaji.
Wakufunzi wa chuo hicho, Antoneta Sunguya na Mariam Marianda wakionesha sufuria inayotumika kuchemshia nyanya kabla ya usindikaji.
Jengo la...
9 years ago
MichuziWACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO