Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
Janga la Corona limesababisha mashirika mengi kuja na njia za ubunifu kufikisha ujumbe wa kulijinda na Corona kwa wananchi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya Corona: Je, Tanzania inajitenga na majirani kwenye mapambano ya corona?
Kufungwa kwa mpaka wa Tanzania na Zambia kumeongeza mjadala wa namna Tanzania inavyopambana na corona na athari kwa nchi zinazoizunguka.
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'
Wizara ya afya nchini Tanzania imebaini kuwa palikuwa na upungufu katika mfumo wa kimuundo na kiutendaji katika kukabiliana na covid-19.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania
Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania
Tanzania imethibitisha kuwepo kwa watu wanne walioambukizwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Kenya yasema 'adui si Tanzania ni Corona'
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu, ametetea hatua ya Kenya kufunga mpaka na majirani zake akisema kuwa haiwalengi Watanzania.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya corona: Vipimo vinavyotumika kupima corona Tanzania havina hitilafu
Bodi ya Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) inakataa matamshi ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kwamba vifaa vya kupimia viruisi vya corona haviko sahihi.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
Wakati serikali zote duniani zimeendelea kujifunza namna sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, zipo zinazosifika na zile zinazokosolewa kwa namna zinavyopambana na Corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania