Virusi vya corona: Vipimo vinavyotumika kupima corona Tanzania havina hitilafu
Bodi ya Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) inakataa matamshi ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kwamba vifaa vya kupimia viruisi vya corona haviko sahihi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'
Wizara ya afya nchini Tanzania imebaini kuwa palikuwa na upungufu katika mfumo wa kimuundo na kiutendaji katika kukabiliana na covid-19.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?
Kila nchi imeonekana ikikabiliana na mlipuko wa virusi vya corona kwa namna yake ,lakini yawezekana kuwa suala la kila mtu kupima virusi vya corona ni muhimu na kila nchi kuzingatia hilo.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya Corona: Je, Tanzania inajitenga na majirani kwenye mapambano ya corona?
Kufungwa kwa mpaka wa Tanzania na Zambia kumeongeza mjadala wa namna Tanzania inavyopambana na corona na athari kwa nchi zinazoizunguka.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Kenya yasema 'adui si Tanzania ni Corona'
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu, ametetea hatua ya Kenya kufunga mpaka na majirani zake akisema kuwa haiwalengi Watanzania.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania
Tanzania imethibitisha kuwepo kwa watu wanne walioambukizwa virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania