Veta yaibuka mshindi wa kwanza katika eneo la Uendelezaji Ujuzi na Utoaji Mafunzo, Sabasaba
![](http://2.bp.blogspot.com/-tC3ECvwMQc4/VZpAdmdTMDI/AAAAAAAHnOk/HGut9gH7zt8/s72-c/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah Moshi akionesha cheti cha ushindi wa kwanza wa VETA katika eneo la Uendelezaji Ujuzi na Utoaji Mafunzo katika Maonesho ya 39 Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) baada ya kutunukiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dk Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kutoka kushoto) kwenye sherehe za ufunguzi tarehe 3 Julai 2015. Wengine kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara Tanzania Mama Jacqueline Maleko na kulia ni Waziri wa Viwanda na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
VETA yang’ara utoaji mafunzo, ujuzi
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeibuka kidedea katika Maonyesho ya Sabasaba kipengele cha kundi la utoaji mafunzo na ujuzi. Akizungumzia tuzo hizo, Mkurugenzi wa VETA, Zebadiah...
10 years ago
VijimamboJESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI WA SAMANI MAONESHO YA 39 YA BIASHARA KIMATAIFA, "SABASABA", MWAKA 2015
Na; Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Utengenezaji bidhaa za Samani kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam Maarufu "SABASABA" kwa Mwaka huu 2015.
Akizungumzia ushindi huo Kamishna...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oTYc5nwlTsM/VccHfrSTK4I/AAAAAAAHvaA/UcN97UkLYEE/s72-c/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KWA WIZARA ZA HUDUMA ZA JAMII KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA - LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oTYc5nwlTsM/VccHfrSTK4I/AAAAAAAHvaA/UcN97UkLYEE/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mRMhrVnvLyk/VccHgEJzheI/AAAAAAAHvaE/jLfE2eeQLFY/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
SUMAJKT YAIBUKA KIDEDEA KATIKA SEKTA YA KILIMO, SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LddMXHqh6d0/VZja9NFJtMI/AAAAAAAHnBE/RgbvpLNeljk/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
WATEMBELEE KATIKA BLOGU YAO www.sumajkt.blogspot.com na pia TOVUTU YAO www.sumajkt.go.tz
11 years ago
MichuziNHIF yaibuka Mshindi wa kwanza Nane Nane Kitaifa
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1128.jpg?width=640)
TCME WASHIRIKIANA NA VETA KATIKA KUTOA MAFUNZO YA UCHIMBAJI MADINI KWA WAZAWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...