Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge Duniani wakutana kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya kiusalama yanayoikabili Dunia

Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 131 wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Hamad Rashid Mohamed akifatilia kwa makini Mkutano wa 131 wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU),unaofanyika mjini Geneva,Uswis.Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 131 wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Hamad Rashid Mohamed akiteta jambo na Balozi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa Geneva, Uswis, Balozi Modest Mero wakati wa Mkutano wa chama hicho mjini Geneva leo.Ujumbe wa Tanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Bodi ya PSPTB yaagizwa kutafuta ufumbuzi.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha. 

 

Wizara ya Fedha imeitaka Bodi ya Wataalam wa Manunuzi na Ugavi (PSPTB) kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha.

 

Wizara hiyo pia imewataka waajiri kuacha kuwaajiri watumishi ambao hawajasajiliwa na bodi hiyo kufanya shughuli za ununuzi na ugavi.

 

Akifungua Mkutano wa 5 wa bodi ya PSPTB jijini Arusha, Naibu Waziri wa Fedha Adam Kighoma Malima ameiagiza bodi hiyo kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kutokana na kila...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri

Nimeandika makala kadhaa zinazohusu huduma bora kwa wateja katika safu hii. Nalazimika kuandika tena leo kwa sababu kwa kweli maeneo mengi ya nchi hii huduma ni mbovu sana. Yapo mabadiliko katika maeneo machache ambayo yanaonyesha angalau watu wanatambua kuwa kuna ushindani katika biashara zetu hivyo wanatakiwa kutoa huduma kwa ushindani; hao nawapa hongera.

 

5 years ago

Michuzi

POLISI NA WAHUDUMU WA BAR WAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KIUSALAMA

JESHI la polisi wilayani Tunduru limekutana na wahudumu,wamiliki wa Bara pamoja na wamiliki wa nyumba za kulala wageni ili kwa pamoja kupanga mkakati wa kudhibiti vitendo vya uharifu na waharifu sehemu zao za kazi. 
Akizungumza na wahudumu hao jana, Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani humo Nico Livingstone alisema, suala la ulinzi la mwananchi na mali ni la kila mmoja na sio taasisi moja. Amewataka wahudumu na wamiliki wa bara na nyumba za kulala wageni kutoa taarifa kwa polisi pale...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge Jumuiya ya Madola wakutana Arusha

Spika wa Bunge la Tanzania ambaye ni Rais wa Umoja wa CPA Kanda ya Afrika, Anne Makinda.MKUTANO wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajia kufanyika kwa wiki moja kuanza leo jijini hapa, huku masuala ya afya ya mama na mtoto, unyanyasaji wa wanawake na ajira kwa vijana vikiwa ni kipaumbele katika mkutano huo.

 

9 years ago

Vijimambo

MASPIKA WA MABUNGE DUNIANI WAKUTANA UMOJA WA MATAIFA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anna Makinda akiwa  katika Mkutano wa Kumi wa  Maspika  Wanawake uliofanyika kwa siku mbili  hapa  Umoja wa Mataifa, Mkutano wa Maspika Wanawake, umetangulia Mkutano wa Nne wa Maspika zaidi ya 180 unaoza leo jumatatu hapa Umoja wa Mataifa.Sehemu ya  Wajumbe wa Mkutano wa Kumi wa Maspika  wanawake,   mkutano  uliojadili mbinu za kuchagiza  usawa wa kijinsia, miaka 20 baada ya Beijing pamoja na  kuhakikisha utekelezaji  wa malengo 17  ya...

 

9 years ago

Michuzi

MASPIKA WA MABUNGE DUNIANI WAKUTANA UMOJA WA MATAIFA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anna Makinda akiwa  katika Mkutano wa Kumi wa  Maspika  Wanawake uliofanyika kwa siku mbili  hapa  Umoja wa Mataifa, Mkutano wa Maspika Wanawake, umetangulia Mkutano wa Nne wa Maspika zaidi ya 180 unaoza leo jumatatu hapa Umoja wa Mataifa.Sehemu ya  Wajumbe wa Mkutano wa Kumi wa Maspika  wanawake,   mkutano  uliojadili mbinu za kuchagiza  usawa wa kijinsia, miaka 20 baada ya Beijing pamoja na  kuhakikisha utekelezaji  wa malengo 17  ya...

 

10 years ago

GPL

BARAZA LA WATOTO WENYE ULEMAVU TAIFA LAPATA VIONGOZI, WAKUTANA NA WABUNGE DODOMA!

Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Dodoma, Yohana Dominic akizungumza. Hajra Sadru akitoa dukuduku lake. Mtoto Eric Gembe akieleza jinsi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani