Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJASILIAMALI KUPATIWA MAFUNZO IRINGA


 Fredrick Mwakalebela mmoja wa wakufunzi watakaotoa mafunzo kwa wajasiliamali wa mkoa wa Iringa Feb 22 Mratibu wa semina ya ujasiliamali Anzawe Chaula akizungumza kuhusu semina hiyo ya februari 22 ofisini kwake. (Picha na Denis Mlowe) ========  =======  ========= WAJASILIAMALI KUPATIWA MAFUNZO IRINGA
Na Denis Mlowe,Iringa
KAMPUNI ya Vannedrick Tanzania limited (VTL) ya jijini Dar salaam kwa kushirikiana na Kituo cha Maendeleo,Haki na Utetezi TCDA cha mjini Iringa wameandaa semina ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAJASILIAMALI 150 WAPATIWA MAFUNZO MOSHI.

Baadhi ya Wawezeshaji katika mafunzo yaWajasiliamali 150 yanayofanyika katika chuo cha Ufundi Veta mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo.Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusinin(ESAURP) Prof,Ted Maliyamkono akzungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajasiliamali  wadogo wa mkoa wa Kilimanjaro yanayofanyika katika chuo cha VETA Moshi.Badhi ya washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano.Mjumbe wa  Bodi ya Taasisi ya fedha ya FSDT ,Erick Masinda...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TAWOMA waomba kupatiwa mafunzo

NA MWANDISHI WETU
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele, amesema wanakabiliwa na changamoto  ya elimu ya uchimbaji, biashara na madini.
Hayo aliyasema jana mjini Dar es Salaam, wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho, unaofanyika kwa siku mbili kuanzia jana, uliofunguliwa na Kamishna Msaidizi wa Madini, Hamisi Komba, kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
“Lengo la chama chetu ni kuwaunganisha wanawake wachimbaji pamoja na kusaidiana kutoka mahali...

 

11 years ago

Michuzi

MWAKALEBELA AWATAKA WAJASILIAMALI IRINGA KUEPUKA MATAPELI KATIKA MIKOPO YA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA

Wanawake  wajasiliamali mjini Iringa  wakipewa maelekezo kutoka  mkurugenzi   mtendaji  wa kampuni ya ujasiliamali nchini  ya VANNEDRICK (T) Ltd Fredrick Mwakalebela (kulia)  wakati wa  semina  hiyo  inayoendelea katika ukumbi wa maendeleo ya jamii mjini Iringa Mwakalebela  katikati akiwa na wakufunzi wa mafunzo ya ujasiliamali wanaopaswa kupewa mikopo ya benki ya wanawake Tanzania Mwakalebela katikati akitoa maelekezo kwa  wajasiliama mali wanaohitaji mikopo ya benki ya wanawake...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Viwanda ba Biashara Dr. Kigoda afunga mafunzo ya wajasiliamali zaidi ya 3500 jijini Dar es Salaam

 Waziri wa Viwanda na Biashara Dr. Abdallah Kigoda akiongea wakati wa kufunga mafunzo ya wiki ya huduma za kifedha na uwekezaji yaliyoshirikisha zaidi ya wajasiliamali 3500 jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Waziri wa Viwanda na Biashara Dr. Abdallah Kigoda akikabidhi kikombe kwa mwakilishi wa Exim Bank Agnes Kaganda baada ya benki hiyo kushinda nafasi ya tatu kwenye mafunzo ya wiki ya huduma za kifedha na uwekezaji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Viwanda na Biashara Dr....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali 700 Iringa wapatiwa mafunzo

ZAIDI ya wajasiriamali 700 waliopatiwa mafunzo ya kutengeneza batiki, sabuni na keki wametakiwa kutumia elimu hiyo kwa vitendo ili wajikwamue kimaisha na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa juzi...

 

9 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela Afungua mafunzo ya ulengaji Shabaha

S1Mkuu wa Wilaya ya Iringa akipokea maelezo toka kwa Mshauri wa Mgambo wa Mkoa Luteni Kanali J. Kitita S2Mkuu wa Wilaya Bwana Richard Kasesela akiongea na wana Mgambo na kuwaasa kuwa waaminifu kwani wao ndio walinzi namba moja katika nchi kwani wao wako karibu sana na wananchi. pia Mkuu wa wilaya alisistiza suala la usafi kama nguzo moja wapo ya uadilifu. S3Mkuu wa wilaya akizindua mafunzo ya shabaha. alifanikiwa kulenga 10 kati ya 30 zilienda kwenye shabaha S4Mkufunzi wa mafunzo akihesabu...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE WA MKOA WA IRINGA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA SHERIA YA UMILIKI WA ARDHI NA UONGOZI

Wanawake wa wilaya za Iringa, Mufindi na Kilolo mkoani Iringa wapatiwa mafunzo juu ya ushawishi na utetezi wa haki za wanawake na sheria ya umiliki wa ardhi ya mwaka 1999. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Shirika la Land O'Lakes chini ya ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID). Mratibu Msaidizi wa Programu wa Shirika la Land O’Lakes Tanzania, Mary Kafanabo alisema kuwa mafunzo hayo yametolewa kufuatia uelewa mdogo wa sheria za umiliki wa ardhi na sheria ya ardhi kwa ujumla.
Alisema...

 

10 years ago

Michuzi

TASAF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAWEZESHAJI WA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI KATIKA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA.


Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF unaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa utambuzi wa kaya maskini katika halmashauri kadhaa nchini. Zoezi hilo ni mwendelezo wa jitihada za TASAF za kunusuru kaya maskini nchini zoezi lililoanza mwaka uliopita kwa awamu katika maeneo mbalimbali nchini.
Miongoni mwa halmashauri ambako mafunzo hayo yanafanyika ni wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambako wawezeshaji hao watashiriki katika kuwapa mafunzo wadodosaji watakaofanya kazi ya tathmini...

 

11 years ago

Michuzi

NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA

USAJILI NA.TLF/011P NAMBA YA KITUO CHA MITIHANIE.643.
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015   NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA.   FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA   kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com   REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani