WANAWAKE WA MKOA WA IRINGA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA SHERIA YA UMILIKI WA ARDHI NA UONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/--yOPCUfaXz4/Vfhhm5cuQII/AAAAAAAAFoE/nh6ZtcCmVbE/s72-c/washiriki.jpg3.jpg)
Wanawake wa wilaya za Iringa, Mufindi na Kilolo mkoani Iringa wapatiwa mafunzo juu ya ushawishi na utetezi wa haki za wanawake na sheria ya umiliki wa ardhi ya mwaka 1999. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Shirika la Land O'Lakes chini ya ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID).
Mratibu Msaidizi wa Programu wa Shirika la Land O’Lakes Tanzania, Mary Kafanabo alisema kuwa mafunzo hayo yametolewa kufuatia uelewa mdogo wa sheria za umiliki wa ardhi na sheria ya ardhi kwa ujumla.
Alisema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA IRINGA TUMAINI MSOWOYA AWAOMBA WANAWAKE KUJITOKEZA KUWANIA UONGOZI
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wajasiriamali 700 Iringa wapatiwa mafunzo
ZAIDI ya wajasiriamali 700 waliopatiwa mafunzo ya kutengeneza batiki, sabuni na keki wametakiwa kutumia elimu hiyo kwa vitendo ili wajikwamue kimaisha na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa juzi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAYA NI MAZINGIRA KISHERIA AMBAPO ALIYEKUUZIA ARDHI ANAWEZA KUDAI TENA UMILIKI NA AKAUPATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s320/1.1774256.jpg)
Kisheria yapo mazingira ambapo mtu aliyeuza ardhi anaweza kuidai tena ardhi ileile aliyouza kutoka kwa mnunuzi na akaipata. Na hapa haijalishi kama mnunuzi ameiendeleza ardhi kwa kiasi gani au amebadilisha hati na kuingia jina lake na vitu vingine kama hivyo.
Sheria imetoa haki hii kwa muuzaji hasa iwapo masharti katika mkataba wa mauziano yamevunjwa. Kwa kawaida kila mkataba wa mauziano ya ardhi huwa na masharti ambayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s72-c/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HII KARIBUNI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s640/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rKtaqS6HgjI/VX8cyw8Xp3I/AAAAAAAAQ9w/lepr3NqYO8M/s640/E86A0344%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEeU9Dpq7c0/VX8dFSWsesI/AAAAAAAAQ_s/1YnS_gxMlZA/s640/E86A0397%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s72-c/B%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s640/B%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mBnHPlifuKQ/VX-3lBOHMkI/AAAAAAABAAk/9PkOTWyiRe8/s640/B%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVIjpLHIp-s/VX-3lg82YEI/AAAAAAABAAg/GhVjrTaOn0A/s640/B%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...