Walimu Karagwe waomba mafunzo JKT
WALIMU wa shule za msingi na sekondari wilayani Karagwe, wameitaka serikali kurudisha mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria, ili kuwajengea ukakamavu katika maeneo yao ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
TAWOMA waomba kupatiwa mafunzo
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele, amesema wanakabiliwa na changamoto ya elimu ya uchimbaji, biashara na madini.
Hayo aliyasema jana mjini Dar es Salaam, wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho, unaofanyika kwa siku mbili kuanzia jana, uliofunguliwa na Kamishna Msaidizi wa Madini, Hamisi Komba, kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
“Lengo la chama chetu ni kuwaunganisha wanawake wachimbaji pamoja na kusaidiana kutoka mahali...
11 years ago
Michuzi20 Jul
WALIMU WANAOTAKIWA KUJIUNGA NA JKT WATAJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NGSbOkDCyQ4/U8aEW28itvI/AAAAAAAAAr4/-hHQ3Z8UdBE/s1600/E80A2604.jpg)
Walimu waliochaguliwa ni wa ngazi ya cheti ambao wamepangiwa vikosi vya kwenda.Kuangalia majina hayo tafadhali BOFYA hapo chini;
BUROMBOLA - KIGOMA
RWAMKOMA - MUSOMA
MSANGE - TABORA
KANEMBWA - KIGOMA
RUVU - PWANI
OLIJORO - ARUSHA
MGAMBO - TANGA
MARAMBA - TANGA
MAFINGA -...
11 years ago
Mwananchi14 May
Atakayekacha mafunzo JKT kushtakiwa
10 years ago
Vijimambo27 Jan
SERIKALI YASITISHA MAFUNZO YA JKT
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt3-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt1-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/jkt-600x360.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jan
RC ashauri waliopitia mafunzo JKT kujitegemea
MKUU wa mkoa Kigoma Issa Machibya amewataka walimu watarajiwa waliomaliza mafunzo katika kambi ya JKT Bulombora mkoani Kigoma kutumia mafunzo ya kujitegemea waliyopata wakati wa mafunzo kuanzisha miradi ya ujasiriamali ya kilimo ili kuongeza hali zao za kipato na kuimarisha uchumi wa familia zao.
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana
Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...
9 years ago
TheCitizen15 Dec
Champs JKT Mbweni, Mafunzo clash in opener
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wizara yafafanua mafunzo ya walimu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema Mafunzo ya Stashahada ya kawaida ya Elimu ya Msingi, yanatolewa kwa walimu waliopo kazini wanaofundisha katika shule za Msingi kwa sifa ya Cheti cha Ualimu wenye uzoefu usiopungua miaka miwili.
10 years ago
Habarileo25 Jun
Mafunzo ya walimu nusura yaingie dosari
MAFUNZO maalumu ya kuboresha ufundishaji masomo kwa shule za sekondari mkoani Dodoma nusura yaingie dosari mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia baada ya walimu kudai hawajalipwa tangu kuanza kwa mafunzo hayo.