Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana
Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
Baadhi ya viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kigoma wakitoa heshima zao za mwisho kwa askari wa kikosi cha 821 JKT bulombora waliopata ajali ya gari jana na kufariki dunia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
Askari kutoka vikosi na majeshi mbalimbali wakiwa mbele ya majeneza ya askari wenzao wa kikosi cha 821 JKT Bulombora waliofariki jana kwa ajali kwaajili ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s72-c/dsc_0134.jpg)
JKT YATANGAZIA VIJANA WA KUJITOLEA WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO MWAKA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s640/dsc_0134.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga ametangaza kuwa vijana wote wanaotaka kujiunga na mafunzo ya jeshi la kujenga taifa kwa utaratibu wa kujitolea mwaka 2015, wasidanganyike kwa kupatiwa fomu za kujiunga na mafunzo hayo hivi sasa, na badala yake wafuate utaratibu huu hapa chini.
Bofya hapa
10 years ago
Michuzi21 Feb
TAARIFA YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO KWA KUJITOLEA NA KUTAKA KUAJIRIWA NA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfAkxJgxDtg/VOc0eZxe6lI/AAAAAAADN2k/UA-FPaIyxRc/s1600/blogger-image-164819453.jpg)
Baadhi ya sababu za kuanzishwa kwa JKT ni:
Kubadili fikra za vijana wa nchi hii kutoka ile hali ya ukoloni kutegemea nchi nyingine kuleta maendeleo.
Kukusanya nguvu za vijana wote wa nchi hii na kuzielekeza kwa umoja wao kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Wakaazi wa Wuhan wazungumzia kuhusu mafunzo waliopata
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Vijana Babati wapata mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Vijana
Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga akisalimiana na Mkurugenzi wa Mji wa Babati Bw. Omari M. Mkombole alipomtembelea ofisini kwake wakati wa ziara ya Mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo Mjini Babati.
Na Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikalini – WHVUM
VIJANA wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7YpYxh-TNdU/U6BJaoV9d2I/AAAAAAAFrQ8/Fv4iMZKbhhQ/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Vijana wa Babati wapata Mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya Mwaka 2007 ili kuweza kuleta maendeleo katika Halmashauri ya Mji wa Babati na hivyo kuwa chachu ya maendeleo nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga wakati wa Mafunzo kwa Vijana kuhusu upatikanaji wa Mikopo kupitia Mfuko wa...
9 years ago
VijimamboMHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe