Virusi vya corona: Wakaazi wa Wuhan wazungumzia kuhusu mafunzo waliopata
Mji wa Wuhan nchini China, ambao ndio chanzo cha mlipuko wa virusi vya corona hatimaye umekamilisha karantini ya wiki 11 huku maambukizi na vifo vikiisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Virusi vya corona: Jinsi wuhan wanavyosalimiana 'wuhan shake'
Watu wengi duniani wanaepuka kusalimiana kwa kushikana mikono ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Mamba anayehangaisha wakaazi
Mamba anayehangaisha wakaazi wanaotekeleza kanuni ya kusalia ndani.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: WHO ilijua kuhusu virusi vya corona miaka miwili iliopita
Mnamo mwezi februari 2018, kundi la wataalam wa shirika la Afya duniani WHO lilichapisha orodha ya magonjwa ambayo yanapaswa kupewa kipau mbele katika uangalizi na utafiti kutokana na tisho kubwa yanayotoa.
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Coronavirus: Wafahamu watu mashuhuri duniani waliopata maambukizi ya virusi vya corona
Wananasiasa, wanamichezo na waigizaji maarufu duniani ni miongoni mwa watu walioambukizwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Wakaazi wa Old Town na Eastleigh waliowekewa amri ya kutotoka nje walalamikia wanachopitia Kenya
Wakaazi Jabir Shek Ismae kutoka Eastleigh na Aly Uweso Abubakr Salim kutoka mtaa wa Old town wanazungumzia uzoefu wao katika siku 29 za amri ya kutotoka nje.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: China inaweza kuwapima wakazi wote wa Wuhan kwa siku kumi pekee?
Mji wa Wuhan nchini China ulio chanzo cha mlipuko wa Covid-19 imetaka kuwapima wakazi wa mji huo milioni 11 kwa muda mfupi, lakini hatua hii inaweza kufanikiwa?
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
Janga la Corona limesababisha mashirika mengi kuja na njia za ubunifu kufikisha ujumbe wa kulijinda na Corona kwa wananchi.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Kwanini Trump anatofautiana na majasusi wa Marekani kuhusu chimbuko la virusi
Idara ya intelijensia ya Marekani ilisema haina uhakika jinsi mlipuko ulivyoanza, lakini Trump anadai virusi hivyo vilitengenezwa katika maabara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania