Virusi vya corona: Mamba anayehangaisha wakaazi
Mamba anayehangaisha wakaazi wanaotekeleza kanuni ya kusalia ndani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Wakaazi wa Wuhan wazungumzia kuhusu mafunzo waliopata
Mji wa Wuhan nchini China, ambao ndio chanzo cha mlipuko wa virusi vya corona hatimaye umekamilisha karantini ya wiki 11 huku maambukizi na vifo vikiisha.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Wakaazi wa Old Town na Eastleigh waliowekewa amri ya kutotoka nje walalamikia wanachopitia Kenya
Wakaazi Jabir Shek Ismae kutoka Eastleigh na Aly Uweso Abubakr Salim kutoka mtaa wa Old town wanazungumzia uzoefu wao katika siku 29 za amri ya kutotoka nje.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania