Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo

MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Loliondo wamlalamikia Waziri Nyalandu

WAKAZI wa Tarafa ya Loliondo, wamemlalamikia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa nia ya kutaka kuvichukua tena vijiji nane vya eneo lao ili kuvigeuza kuwa hifadhi. Waziri Nyalandu...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TAWOMA waomba kupatiwa mafunzo

NA MWANDISHI WETU
MWENYEKITI wa Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele, amesema wanakabiliwa na changamoto  ya elimu ya uchimbaji, biashara na madini.
Hayo aliyasema jana mjini Dar es Salaam, wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho, unaofanyika kwa siku mbili kuanzia jana, uliofunguliwa na Kamishna Msaidizi wa Madini, Hamisi Komba, kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
“Lengo la chama chetu ni kuwaunganisha wanawake wachimbaji pamoja na kusaidiana kutoka mahali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vituko vya Waziri Muhongo

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo, anaweza kuwa waziri mwenye vituko kuliko wote kwa mwaka uliopita 2013 na mwaka huu mpya wa 2014. Mbali ya kituko cha mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MUHONGO AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo katika picha ya pamoja na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini za Kiislamu na Kikirsto kutoka Mikoa ya Mwanza na Geita. Wa pili nyuma kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani. Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati), akisalimiana na Askofu Zenabius Isaya na baadhi ya Viongozi wa Dini wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Muhongo akerwa na mhandisi wa maji

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Musoma Vijijini, Federika Myovela kumshusha cheo mhandisi aliyeshindwa kutaja vijiji 10 vitakavyotekeleza mradi wa maji wa zaidi ya Sh30 bilioni.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda na familia ya Prof. Muhongo

PG4A1185

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na familia  ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Peter Muhongo (hayupo pichani) baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo mjini Dodoma Mei 30, 2014. Wapili kulia ni Mke wa Waziri huyo, Bertha  Mamuya na wengine ni mabinti wa Waziri , Nyasige Sospeter  (kushoto) na  Bertha Kimariyo . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A1195 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo(kulia)...

 

9 years ago

Raia Mwema

Profesa Muhongo kaanza vizuri, Waziri Kitwanga je?

KUTOKANA na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu, wiki mbili zilizopita nilishindwa kuwaletea mak

Evarist Chahali

 

11 years ago

GPL

KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO

Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika (Mb). Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa kauli za uongo kwa nyakati mbalimbali mwaka 2012 na 2013 ndani na nje ya Bunge kuhusu utafiti na uendelezaji wa gesi asilia. Waziri Muhongo alijibu uongo kwamba hafanyi kazi kwa vyombo vya habari nilipohoji kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge ya kuanzia Novemba 2011 ya kushughulikia ufisadi uliothibitika katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani