Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Loliondo wamlalamikia Waziri Nyalandu

WAKAZI wa Tarafa ya Loliondo, wamemlalamikia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa nia ya kutaka kuvichukua tena vijiji nane vya eneo lao ili kuvigeuza kuwa hifadhi. Waziri Nyalandu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipokutana na baadhi aya madiwani wa Loliondo

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akisalimiana na baadhi aya madiwani wa Loliondo juzi alipokwenda kujadiliana nao kuhusu mgogoro wa ardhi katika maeneo hayo.Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiw ana mkuu wa wilaya ya Loliondo EliasLala lawai alipowasili katika ueanja wa ndege wa Waso, Loliondo kwa ajili ya mazungumzo na n=madiwani kuhusu mgogoro wa aerdhi uliodumu kwa miongoMakamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro, Raphael ong'oi akizungumza wakati ea kikao...

 

10 years ago

Habarileo

Wachonganishi Loliondo kukiona-Nyalandu

Lazaro Nyalandu.SERIKALI imesema haitasita kuwafukuza wawekezaji, taasisi au mashirika yasiyo ya kiserikali, yanayofanya uchonganishi katika maeneo ya hifadhi na uwindaji.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: Taarifa za kufukuza Wamasai Loliondo ni uzushi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduSERIKALI imesema haina mpango, haifikirii na wala haijaidhinisha kuwafukuza Wamasai zaidi ya 40,000 walioko katika eneo la Loliondo mkoani Arusha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Hatuna mpango kufukuza Wamasai Loliondo

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 eneo la Loliondo mkoani Arusha ni za uongo na uchokozi. Novemba mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha  hazina ukweli wowote.
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo

MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ATINGA LOLIONDO KUJADILIANA NA MADIWANI KUHUSIANA NA MGOGORO WA ARDHI KATIKA MAENO HAYO

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akisalimiana na baadhi aya madiwani wa Loliondo juzi alipokwenda kujadiliana nao kuhusu mgogoro wa ardhi katika maeneo hayo. Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro, Raphael ong'oi akizungumza wakati ea kikao na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kujaduli mgogoro wa ardhi Loliondo.Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiw ana mkuu wa wilaya ya Loliondo EliasLala lawai alipowasili katika ueanja wa ndege wa Waso,...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN

Mh. Waziri  Nyalandu akihojiwa katika banda la Tanzania na mwandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Check inn cha Qatar Bw. Tajamul Hussain kuhusu utalii wa Tanzania kwa ujumla. MKurugenzi wa kampuni ya usafirishaji watalii ya Zara tours…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani