Bosi UVCCM amzungumzia mrithi wa Kikwete
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Juma Sadifa amependekeza Rais ajaye kutoka chama hicho awe ni yule mwenye kuwapenda vijana kama alivyo Rais wa sasa Jakaya Kikwete.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
5 years ago
CCM Blog02 May
JAKAYA KIKWETE AMZUNGUMZIA MAREHEMU MAHIGA
Makamu wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi ataongoza mazishi ya aliyekuwa waziri wa Sheria na Katiba Dr. Agustine Mahiga ambae alifariki jana Ijumaa jijini Dodoma, baada ya kuukua kwa muda mfupi.Dr. Mahiga atazikwa kwao huko Mkoani Iringa.Augustine Philip Mahiga, ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania...Balozi Mahiga, mwanadiplomasia nguli aliyehudumu kwa miongo mitanoPia ni moja kati ya watu wachache amabao wamefanya kazi katika ngazi za juu na...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Jakaya Kikwete amzungumzia Marehemu Augustine Philip Mahiga aliyefariki jana
Augustine Philip Mahiga, ambaye amefariki Ijumaa jijini Dodoma ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3ujMkoaY8qmL5w2RuQVZsgCksAa9GrHXTAyACn0BPWXzZEYzl91iKqv8yXCc0NtNpbVS7nmZWPX4QUeT9j7fsq*/frontjumamosi.jpg)
MRITHI WA MAMA SALMA KIKWETE VITA NZITO!
Mwandishi wetu
TAYARI imebainika kwamba, baadhi ya viongozi walioonesha nia ya kugombea urais mwaka huu wameanza kupigiwa debe na wake zao ndani ya mitandao ya kijamii ili waume hao watakapoibuka na ushindi wapate nafasi ya ‘u–First Lady’, Risasi Jumamosi linakupa zaidi! Mama Salma Kikwete. Taarifa zilizotua juu ya dawati la gazeti hili juzi zilisema kuwa, vita ni nzito kwani baadhi ya wake wa wagombea nao...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Nani atakaye mrithi Kikwete katika CCM?
Chama tawala cha Mapinduzi Tanzania - CCM kimeanza rasmi mkutano mkuu wa taifa wa chama hicho mjini Dodoma
10 years ago
Habarileo07 Jul
Kikwete ateua bosi mpya MSD
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Laurean Rugambwa Bwanakunu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD).
11 years ago
Habarileo01 Jun
Bosi UN asifu jitihada za Kikwete sekta ya afya
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesifu jitihada za Rais Jakaya Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kikwete amteua Masikitiko kuwa bosi mpya TBS
Rais Jakaya Kikwete amemteua Joseph Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DR1lWP7aC61yfOB1eszbWQhz7WcrQ2YieEgTsgYI4tgaNBkfPGcktuwmhDsuNBDxgyFA84GnC0yk5MclqaXaqSH/1uv1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA MATEMBEZI YA UVCCM ZANZIBAR
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar jana Januari 5, 2014 .
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akikagua Brass Band ya Chipukizi kabla ya kupokea maandamano ya watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania