JAKAYA KIKWETE AMZUNGUMZIA MAREHEMU MAHIGA
Makamu wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi ataongoza mazishi ya aliyekuwa waziri wa Sheria na Katiba Dr. Agustine Mahiga ambae alifariki jana Ijumaa jijini Dodoma, baada ya kuukua kwa muda mfupi.Dr. Mahiga atazikwa kwao huko Mkoani Iringa.Augustine Philip Mahiga, ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania...Balozi Mahiga, mwanadiplomasia nguli aliyehudumu kwa miongo mitanoPia ni moja kati ya watu wachache amabao wamefanya kazi katika ngazi za juu na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 May
Jakaya Kikwete amzungumzia Marehemu Augustine Philip Mahiga aliyefariki jana
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziWASIFU WA MAREHEMU BALOZI DKT AUGUSTINE MAHIGA
Dk Augustine Mahiga alizaliwa Agosti 28, 1945 huko Tosamanganga, Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa (atatimiza miaka 75 ifikapo Agosti mwaka huu). Amesoma elimu ya msingi katika shule za Serikali enzi ya mkoloni na alihitimu darasa la VIII muda mfupi baada ya uhuru. Safari ya elimu ya Dk Mahiga ilikuwa ya umaskini uliopitiliza, alishindwa kuendelea na elimu ya sekondari kwa kutokuwa na fedha za kulipia mashuka na mablanketi hadi aliposaidiwa na msamaria mwema kutoka Shirika la Kennedy wakati...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Bosi UVCCM amzungumzia mrithi wa Kikwete
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Juma Sadifa amependekeza Rais ajaye kutoka chama hicho awe ni yule mwenye kuwapenda vijana kama alivyo Rais wa sasa Jakaya Kikwete.
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Balozi Augustine Mahiga wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika katika kijiji cha Tosamaganga Mkoani Iringa, Makamu wa Rais alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John ...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WATOA POLE KWENYE MSIBA WA MAREHEMU JAJI MAKAME
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
IPPmedia15 Jan
President Jakaya Kikwete
IPPmedia
President Jakaya Kikwete
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has requested China to extend its expertise, materials and financial muscle to Tanzania in the area of urban planning. According to a statement issued by the State House in Zanzibar where Kikwete held talks with Chinese Minister ...
Zanzibar President of Tanzania Meets with Jiang Weixin, Special Envoy of ...MFA China
all 3