Jakaya Kikwete amzungumzia Marehemu Augustine Philip Mahiga aliyefariki jana
Augustine Philip Mahiga, ambaye amefariki Ijumaa jijini Dodoma ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog02 May
JAKAYA KIKWETE AMZUNGUMZIA MAREHEMU MAHIGA
Makamu wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi ataongoza mazishi ya aliyekuwa waziri wa Sheria na Katiba Dr. Agustine Mahiga ambae alifariki jana Ijumaa jijini Dodoma, baada ya kuukua kwa muda mfupi.Dr. Mahiga atazikwa kwao huko Mkoani Iringa.Augustine Philip Mahiga, ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania...Balozi Mahiga, mwanadiplomasia nguli aliyehudumu kwa miongo mitanoPia ni moja kati ya watu wachache amabao wamefanya kazi katika ngazi za juu na...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Sa8G84KcWmc/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s72-c/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU BALOZI DKT AUGUSTINE MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nEixCLiFH1U/Xq0qJ3MYafI/AAAAAAALo0k/bzvnR3GNswUX8Y7B4CkzyfPSV_aU3ld7ACLcBGAsYHQ/s640/Balozi_Augustine_Mahiga-1-750x375.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A3513-2.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s640/F87A3513-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/Sa8G84KcWmc/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogGSM WAMLILIA BALOZI AUGUSTINE MAHIGA
Kwenye taarifa iliyotolewa na GSM GROUP, Ghalib amemuelezea Marehemu kama Mtu wa aina yake na mwenye unyenyekevu ambao sio kila mmoja anao.... “Tutakukumbuka kwa upole wako, ukarimu pamoja na unyenyekevu” - Ghalib.
10 years ago
Mwananchi02 May
Dk Augustine Mahiga, balozi mstaafu Umoja wa Mataifa
Historia yake
Dk Augustine Mahiga alizaliwa Agosti 28, 1945 huko Tosamanganga, Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa (atatimiza miaka 70 ifikapo Agosti mwaka huu). Amesoma elimu ya msingi katika shule za Serikali enzi ya mkoloni na alihitimu darasa la VIII muda mfupi baada ya uhuru. Safari ya elimu ya Dk Mahiga ilikuwa ya umaskini uliopitiliza, alishindwa kuendelea na elimu ya sekondari kwa kutokuwa na fedha za kulipia mashuka na mablanketi hadi aliposaidiwa na msamaria mwema kutoka Shirika la...
9 years ago
MichuziDKT. AUGUSTINE MAHIGA KUFANYA ZIARA MKOANI ARUSHA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-q87iFpnjFfQ/Xqw5C65PBcI/AAAAAAAC4Uc/9ctx4XFzf7cZzdxxruzU3Ljxo_86iIPHwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania