Nani atakaye mrithi Kikwete katika CCM?
Chama tawala cha Mapinduzi Tanzania - CCM kimeanza rasmi mkutano mkuu wa taifa wa chama hicho mjini Dodoma
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimeielekeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU kuwakamata hadharani na kuwachukulia hatua wanachma wa Chama hicho wanaochafua taswira ya Chama kwa kutumia rushwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Mbele ya vyombo vya habari katibu wa siasa na uenezi CCM mkoa wa Njombe ndugu Erasto Ngole amesema kwa mujibu wa maelekezo ya vikao vya chama hakuna mwanasiasa ndani ya chama hicho atakayesalimika katika...
10 years ago
Vijimambo
CCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.CCM imeshaanza...
10 years ago
VijimamboDK MAGFUNGA KAZI MWANZA, RAIS KIKWETE ASEMA ATAKAYE FANYA FUJO IUCHAGUZI MKUU KUKIONA CHA MOTO
Dk Magufuli amewaomba watanzania wote kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo ambapo yeye amesema atawalipa kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo Wanzania.PICHA ZOTE NA RICHARD...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII

Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
11 years ago
Habarileo06 Oct
Bosi UVCCM amzungumzia mrithi wa Kikwete
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Juma Sadifa amependekeza Rais ajaye kutoka chama hicho awe ni yule mwenye kuwapenda vijana kama alivyo Rais wa sasa Jakaya Kikwete.
10 years ago
GPL
MRITHI WA MAMA SALMA KIKWETE VITA NZITO!
Mwandishi wetu
TAYARI imebainika kwamba, baadhi ya viongozi walioonesha nia ya kugombea urais mwaka huu wameanza kupigiwa debe na wake zao ndani ya mitandao ya kijamii ili waume hao watakapoibuka na ushindi wapate nafasi ya ‘u–First Lady’, Risasi Jumamosi linakupa zaidi! Mama Salma Kikwete. Taarifa zilizotua juu ya dawati la gazeti hili juzi zilisema kuwa, vita ni nzito kwani baadhi ya wake wa wagombea nao...
10 years ago
VijimamboBREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !
""AIN'T NO PARTY LIKE A NEW YORK PARTY""
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu


UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE
UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu

UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE

UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania