Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani

Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimeielekeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU kuwakamata hadharani na kuwachukulia hatua wanachma wa Chama hicho wanaochafua taswira ya Chama kwa kutumia rushwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Mbele ya vyombo vya habari katibu wa siasa na uenezi CCM mkoa wa Njombe ndugu Erasto Ngole amesema kwa mujibu wa maelekezo ya vikao vya chama hakuna mwanasiasa ndani ya chama hicho atakayesalimika katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa mashitaka wataka nahodha akamatwe

Viongozi wa mashitaka nchini Korea Kusini wameiomba mahakama kutoa kibali cha kukamatwa kwa nahodha wa feri ya iliyozama siku ya Jumatano ikiwa na zaidi ya watu 400.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nani atakaye mrithi Kikwete katika CCM?

Chama tawala cha Mapinduzi Tanzania - CCM kimeanza rasmi mkutano mkuu wa taifa wa chama hicho mjini Dodoma

 

10 years ago

GPL

Viongozi Azam wataka kuchapana hadharani

Viongozi wa Azam wakilumbana. Waandishi Wetu,Dar es Salaam
HALI ya sintofahamu imetokea ndani ya Klabu ya Azam ambapo viongozi kadhaa wa timu hiyo juzi walivurugana hadharani na kutaka kutwangana makonde baada ya mchezo wao dhidi ya Mbeya City, kwenye Uwanja wa Azam Complex nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Tafrani hiyo ilitokea baina ya Meneja wa Azam FC, Jemedali Said na Mkurugenzi wa Ufundi wa Azam FC, Saady Kawemba...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama


Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.CCM imeshaanza...

 

10 years ago

Habarileo

Luhavi: CCM hatumzungumzii mwanachama anayehama

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Rajab Luhavi amesema hakuna utaratibu wa kikanuni wa kumzungumzia mwanachama anayekihama chama hicho na kuwa wanajiandaa na siasa za kiushindani ili kulinda hadhi na heshima ya CCM.

 

11 years ago

Michuzi

NAPE : CCM HAIKATAZI MWANACHAMA WAKE KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UONGOZI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye amesema Chama Cha Mapinduzi hakimzuii mwanachama yeyote kutangaza nia ya kugombea Uongozi katika muhula unaofuata isipokuwa Chama kimezuia kampeni za mapema kwani ndio chanzo cha makundi ndani ya Chama akizungumza kwenye kipindi cha Baragumu kinachorushwa na Channel 10.
Nape  alisema taratibu za kugombea Uongozi ndani ya chama zipo na kuna Kanuni mbili, moja ni ya Kanuni za Viongozi na Maadili na pili Kanuni zinazosimamia Uchaguzi...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !

                                   ""AIN'T NO PARTY LIKE A NEW YORK PARTY""
                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu



                          
                                         UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE                          
                                     UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
                          
                                                  TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bernard Membe: CCM yamfukuza mwanachama wake mwandamizi kwa 'makosa ya maadili'

Bernard Membe ni waziri wa zamani wa Mambo ya Nje nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani