CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani
![](https://1.bp.blogspot.com/-ESAh06ugGB8/XvB3-ol2ATI/AAAAAAALu5A/v2oNIcCo0SwWYhFy3sX4oDOZtXXSnbbrACLcBGAsYHQ/s72-c/NGOLE.jpg)
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimeielekeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU kuwakamata hadharani na kuwachukulia hatua wanachma wa Chama hicho wanaochafua taswira ya Chama kwa kutumia rushwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Mbele ya vyombo vya habari katibu wa siasa na uenezi CCM mkoa wa Njombe ndugu Erasto Ngole amesema kwa mujibu wa maelekezo ya vikao vya chama hakuna mwanasiasa ndani ya chama hicho atakayesalimika katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Viongozi wa mashitaka wataka nahodha akamatwe
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Nani atakaye mrithi Kikwete katika CCM?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heLCyGBlOSDBx5FaXcBxUmtcblc2oT0SmzwjobfqYQgwfaDG81gTLj1tqFfW0PRDaXVehjMzqjfyqPGH6UxcmIp/vingoz.jpg?width=650)
Viongozi Azam wataka kuchapana hadharani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_X-AvWH2MFs/VZ304YsihLI/AAAAAAAAxZE/2mxP9Wxle6Y/s72-c/pic%252Bmsekwa.jpg)
CCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama
![](http://2.bp.blogspot.com/-_X-AvWH2MFs/VZ304YsihLI/AAAAAAAAxZE/2mxP9Wxle6Y/s640/pic%252Bmsekwa.jpg)
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.CCM imeshaanza...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Luhavi: CCM hatumzungumzii mwanachama anayehama
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Rajab Luhavi amesema hakuna utaratibu wa kikanuni wa kumzungumzia mwanachama anayekihama chama hicho na kuwa wanajiandaa na siasa za kiushindani ili kulinda hadhi na heshima ya CCM.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s72-c/1.jpg)
NAPE : CCM HAIKATAZI MWANACHAMA WAKE KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UONGOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s1600/1.jpg)
Nape alisema taratibu za kugombea Uongozi ndani ya chama zipo na kuna Kanuni mbili, moja ni ya Kanuni za Viongozi na Maadili na pili Kanuni zinazosimamia Uchaguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YVKcy2hU5iM/default.jpg)
10 years ago
VijimamboBREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu
![](https://lh5.googleusercontent.com/-Gb4rdsn6HBY/UWMbnZzMGQI/AAAAAAAADi0/RQdKuX85gOY/w2048-h1536/Richi%2BRich%2BPalace.jpg)
UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t31.0-8/10518606_778078018915599_3019657558859037122_o.jpg)
UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Bernard Membe: CCM yamfukuza mwanachama wake mwandamizi kwa 'makosa ya maadili'