SIO JAMBO LA AJABU KWA MWANACHAMA YEYOTE KUHAMA CCM-NAPE
![](http://img.youtube.com/vi/YVKcy2hU5iM/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s72-c/1.jpg)
NAPE : CCM HAIKATAZI MWANACHAMA WAKE KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UONGOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G99kNSJ-_6s/U8ym639blGI/AAAAAAAAPlc/Kezo0iMPTpU/s1600/1.jpg)
Nape alisema taratibu za kugombea Uongozi ndani ya chama zipo na kuna Kanuni mbili, moja ni ya Kanuni za Viongozi na Maadili na pili Kanuni zinazosimamia Uchaguzi...
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Bernard Membe: CCM yamfukuza mwanachama wake mwandamizi kwa 'makosa ya maadili'
10 years ago
Michuzi07 Feb
nape atembelea magazeti ya Tanzania Daima na Jambo leo
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-14NqQC1olCA%2FVNTEhQSlBMI%2FAAAAAAAAs4M%2F_37ThjbwBMk%2Fs1600%2F1.%252BMbowe.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-XqJsXNVm7TY%2FVNTEjr3HHHI%2FAAAAAAAAs4U%2FUhWUj--ojTQ%2Fs1600%2F1.%252Bmboweee.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza...
10 years ago
Vijimambo26 May
Dakika tatu na Edward Lowassa>> Urais 2015, kuhama Chama, Elimu TZ.. Afya yake na Ujumbe wake kwa CCM
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/lowassa2.jpg?resize=550%2C367)
Moja ya story kubwa kwenye siasa za TZ wiki iliyopita ilikuwa ishu ya CCM kuwafungulia makada wake sita ambao walikiuka kanuni za chama hicho kwa kutangaza kugombea Urais mapema kinyume na utaratibu wa chama hicho, mmoja ya waliokuwa wamefungiwa ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa.Jana kulikuwa na stori ya Naibu Waziri Mwigulu Nchemba kutangaza kugombea Urais wa TZ kupitia CCM.. leo Mbunge Edward Lowassa ameongea kuhusu mambo kadhaa ikiwemo hali ya afya yake,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s72-c/mahiga.jpg)
BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s640/mahiga.jpg)
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada maarufu wa chama hicho walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia watanzania na kuwa watazunguka kote ila...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wassira: Nitamuunga mkono yeyote wa CCM
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wassira amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na CCM kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, endapo nafasi hiyo haitaangukia mikononi mwake.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Luhavi: CCM hatumzungumzii mwanachama anayehama
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Rajab Luhavi amesema hakuna utaratibu wa kikanuni wa kumzungumzia mwanachama anayekihama chama hicho na kuwa wanajiandaa na siasa za kiushindani ili kulinda hadhi na heshima ya CCM.
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Nape: CCM itazuia mafuriko kwa kidole
NA SARAH MOSSI, LINDI
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema chama hicho kina uwezo wa kuzuia mafuriko hata kwa kidole, achilia mbali mikono.
Nape ambaye ni mgombea ubunge Jimbo la Mtama mkoani Lindi, alisema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Nyangao na kuhudhuriwa na mgombea mwenza wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan.
Katika mkutano huo, Nape aliwabeza wanachama waliowania nafasi ya urais kupitia CCM na ubunge, kisha wakatemwa...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu
NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...