Nape: CCM itazuia mafuriko kwa kidole
NA SARAH MOSSI, LINDI
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema chama hicho kina uwezo wa kuzuia mafuriko hata kwa kidole, achilia mbali mikono.
Nape ambaye ni mgombea ubunge Jimbo la Mtama mkoani Lindi, alisema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Nyangao na kuhudhuriwa na mgombea mwenza wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan.
Katika mkutano huo, Nape aliwabeza wanachama waliowania nafasi ya urais kupitia CCM na ubunge, kisha wakatemwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Jul
Nape asema CCM imezuia mafuriko kwa mikono.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-21july2015.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.
Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu
NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
CCM ni kidole chenye kansa lazima kikatwe
WALIOOTA zamani walitutahadharisha kwa yale waliyoona katika ndoto. Leo tunapita katika majia salama kutokana na tahadhari ya ndoto zao. Wangenyamaza tusingejua yaliyokuwa yatukute asilani. Lakini mambo mengine hayahitaji kusubiri kujulishwa...
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s72-c/6.jpg)
NAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXHEQ6zDiwA/VA1C_qlbn8I/AAAAAAAAQW4/9olO3suDu1I/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2y2Xaq1sB10/VA1DBIdYdiI/AAAAAAAAQXA/EI27GD9uRVY/s1600/4.jpg)
BOFYA...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SD3bldeVLqI/UzuxCdjiAMI/AAAAAAAFXx4/-NKuR-TN9_o/s72-c/MMG25603.jpg)
Nape asema CCM itashinda kwa kishindo jimbo la Chalinze
![](http://2.bp.blogspot.com/-SD3bldeVLqI/UzuxCdjiAMI/AAAAAAAFXx4/-NKuR-TN9_o/s1600/MMG25603.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCIncuO9dYI/UzuxZFj_6II/AAAAAAAFXyA/sDeLsKs_DuE/s1600/MMG25611.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YVKcy2hU5iM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE