Nape asema CCM itashinda kwa kishindo jimbo la Chalinze
![](http://2.bp.blogspot.com/-SD3bldeVLqI/UzuxCdjiAMI/AAAAAAAFXx4/-NKuR-TN9_o/s72-c/MMG25603.jpg)
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Bonnele,Chalinze mkoani Pwani,juu ya mwenendo wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.Nape amesema kuwa mpaka sasa Kampeni za CCM zinakwenda vizuri na wanaimani watashinda kwa kishindo kwenye Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Jumapili hii ya April 6,2014.
Sehemu ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye mapema leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDeVDojZlIE/U0AZne_4HsI/AAAAAAAFYqw/Xfev_iE6iGE/s72-c/MMG29677.jpg)
CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDeVDojZlIE/U0AZne_4HsI/AAAAAAAFYqw/Xfev_iE6iGE/s1600/MMG29677.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IJBymaqZPxU/U0AZqoeTlPI/AAAAAAAFYq4/qPB9QtlvgSs/s1600/MMG29383.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xSXjGaCj0fQ/Uym0qnyzmWI/AAAAAAAFU78/YnxO9t046_g/s72-c/C+4.jpg)
CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://4.bp.blogspot.com/-xSXjGaCj0fQ/Uym0qnyzmWI/AAAAAAAFU78/YnxO9t046_g/s1600/C+4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VTFVrf5BBrg/Uym04KGq0yI/AAAAAAAFU9U/SWYlGyXfJQo/s1600/C+1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/140.jpg)
KINANA AZINDUA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE KWA KISHINDO
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
9 years ago
MichuziMWIGULU AWAHAKIKISHIA WANABUKOMBE KUWA CCM ITASHINDA KWA KISHINDO 2015
Picha na...
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...