Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Luhavi: CCM hatumzungumzii mwanachama anayehama

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Rajab Luhavi amesema hakuna utaratibu wa kikanuni wa kumzungumzia mwanachama anayekihama chama hicho na kuwa wanajiandaa na siasa za kiushindani ili kulinda hadhi na heshima ya CCM.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani

Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimeielekeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU kuwakamata hadharani na kuwachukulia hatua wanachma wa Chama hicho wanaochafua taswira ya Chama kwa kutumia rushwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Mbele ya vyombo vya habari katibu wa siasa na uenezi CCM mkoa wa Njombe ndugu Erasto Ngole amesema kwa mujibu wa maelekezo ya vikao vya chama hakuna mwanasiasa ndani ya chama hicho atakayesalimika katika...

 

11 years ago

Michuzi

NAPE : CCM HAIKATAZI MWANACHAMA WAKE KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UONGOZI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye amesema Chama Cha Mapinduzi hakimzuii mwanachama yeyote kutangaza nia ya kugombea Uongozi katika muhula unaofuata isipokuwa Chama kimezuia kampeni za mapema kwani ndio chanzo cha makundi ndani ya Chama akizungumza kwenye kipindi cha Baragumu kinachorushwa na Channel 10.
Nape  alisema taratibu za kugombea Uongozi ndani ya chama zipo na kuna Kanuni mbili, moja ni ya Kanuni za Viongozi na Maadili na pili Kanuni zinazosimamia Uchaguzi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bernard Membe: CCM yamfukuza mwanachama wake mwandamizi kwa 'makosa ya maadili'

Bernard Membe ni waziri wa zamani wa Mambo ya Nje nchini Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ridhiwani siyo mwanachama’

 Uongozi wa Yanga umesema Mwenyekiti wa Kamati ya ujezi wa jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete siyo mwanachama wa klabu hiyo kwa kuwa hajalipa ada yake kwa miezi sita mfululizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm mwanachama hai Yanga

Uongozi wa Yanga jana uliandaa sherehe fupi ya kumuaga aliyekuwa kocha wao, Hans Pluijm, lakini naye ameahidi kuwa mwanachama hai wa klabu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Palestina kuwa mwanachama wa ICC

Umoja wa mataifa umedhibitisha kuwa Palestina itakuwa mwanachama wa mahakama ya kimataifa ya ICC kuanzia tarehe mosi mwezi Aprili

 

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa mikataba ya huduma kwa mwanachama

Mifuko itambue kwamba kuwa na mkataba wa huduma kwa wanachama, kutawezesha wanachama wao kujua mafao yanayotolewa, haki na wajibu wao ndani ya mifuko hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani