Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Palestina kuwa mwanachama wa ICC

Umoja wa mataifa umedhibitisha kuwa Palestina itakuwa mwanachama wa mahakama ya kimataifa ya ICC kuanzia tarehe mosi mwezi Aprili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

USA:Palestina haifai kuwa mwanachama ICC

Marekani imesema kuwa imetamaushwa na hatua ya viongozi wa Palestina ya kutaka kujiunga na mahakama ya ICC

 

10 years ago

BBCSwahili

Palestina kujiunga na mahakama ya ICC.

kundi la wapiganaji la Hamas limetia sahihi ahadi ya kuunga mkono ombi lolote la Palestina kujiunga na ICC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Palestina yapewa uanachama wa ICC

Wapalestina wamepata uanachama wa mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita miezi mitatu baada ya ombi lao kukubaliwa.

 

5 years ago

Michuzi

TUTAISAIDIA BURUNDI KUWA MWANACHAMA WA SADC-MAJALIWA


Rais wa Burundi , Evariste Ndayishimiye akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete kwenye Ikulu ya Gitega nchini Burundi baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Burundi, Marehemu Pierre Nkurunziza Juni, 26,2020.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete wakizungumza na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombaza wakati walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura na baadae walisafiri...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe

Waziri mkuu wa awamu ya tatu Mh.Fredirick Sumaye jana alitangaza rasmi kujiunga na chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) na akakabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho Mh.Freeman Mbowe. Sumaye ambaye wakati wa uchaguzi alitangaza kujiondoa CCM na kudai kuwa anaunga mkono mageuzi yanayofanywa na vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) bila kuweka wazi kuwa yuko

 

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein

 Balozi wa Sudan nchini, Dr Yassir Mohamed Ali akijiandaa kusaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein, aliyefariki Jumatano wiki hiiBalozi wa Iran nchini, Mehd Aghajafari akisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein,...

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''

Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ridhiwani siyo mwanachama’

 Uongozi wa Yanga umesema Mwenyekiti wa Kamati ya ujezi wa jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete siyo mwanachama wa klabu hiyo kwa kuwa hajalipa ada yake kwa miezi sita mfululizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani