‘Ridhiwani siyo mwanachama’
 Uongozi wa Yanga umesema Mwenyekiti wa Kamati ya ujezi wa jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete siyo mwanachama wa klabu hiyo kwa kuwa hajalipa ada yake kwa miezi sita mfululizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Palestina kuwa mwanachama wa ICC
11 years ago
Mwananchi17 May
Pluijm mwanachama hai Yanga
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umuhimu wa mikataba ya huduma kwa mwanachama
10 years ago
Habarileo01 Aug
Luhavi: CCM hatumzungumzii mwanachama anayehama
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Rajab Luhavi amesema hakuna utaratibu wa kikanuni wa kumzungumzia mwanachama anayekihama chama hicho na kuwa wanajiandaa na siasa za kiushindani ili kulinda hadhi na heshima ya CCM.
11 years ago
Habarileo06 Aug
Anayedaiwa mwanachama Al Shabaab apelekwa kwa DCI
MSHITAKIWA anayekabiliwa na kesi ya kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mussa Mtweve, amepelekwa kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya mahojiano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ys2PLiyXc-I/XvcBq13F7_I/AAAAAAALvrA/JTm6fZPzxD433kVfpOtvatcZbu2-7T7oACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4258AAA-768x377.jpg)
TUTAISAIDIA BURUNDI KUWA MWANACHAMA WA SADC-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys2PLiyXc-I/XvcBq13F7_I/AAAAAAALvrA/JTm6fZPzxD433kVfpOtvatcZbu2-7T7oACLcBGAsYHQ/s640/PMO_4258AAA-768x377.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4259AAA-1024x483.jpg)
Rais wa Burundi , Evariste Ndayishimiye akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete kwenye Ikulu ya Gitega nchini Burundi baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Burundi, Marehemu Pierre Nkurunziza Juni, 26,2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4012AAA-1024x492.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete wakizungumza na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombaza wakati walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura na baadae walisafiri...