Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waafrika tumeumbwa kuzaana, wala siyo kuuana

Kinachotokea huko Sudan Kusini, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kina mwelekeo wa kutusogelea sisi watu wa Afrika Mashariki zaidi ya tunavyofikiria.

 

10 years ago

GPL

JIDE MIMI SIYO YESU WALA BIKIRA MARIA!

Supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee akipozi. Kutoka moyoni! Wakati kukiwa na maneno mengi juu ya madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na prizenta maarufu Bongo wa Redio E-FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’, supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee amefunguka kuwa naye si mkamilifu kwani siyo Yesu wala Bikira Maria. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, wikiendi...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli

Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama

“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salama”

 

10 years ago

Mwananchi

SAFU: Urasta mwafrika mwenzangu siyo bangi, uchafu, uhuni wala ujambazi

Ethiopia imeelea ndani ya habari za kimataifa  wiki hizi mbili.

 

10 years ago

Vijimambo

HOSPITALI YA MISHENI YA SENGEREMA LAWAMANI KWA KUMUWEKEA MTOTO DAMU SIYO GROUP LAKE NA KUMSABABISHIA ULEMAVU WA KUPOOZA


 MWANDISHI WA HABARI  WILLIAM BUNDALA AKIWA NA MTOTO SALOME EDWARD  HIVYO NDIVYO AMBAVYO MIGUU YAKE INAVYOONEKANA IKIWA IMEPOOZA.
 Hospitali ya Misheni Wilayani Sengerema mkoani Mwanza imepata lawama kutokana na kitendo chake cha kumuongezea damu ambayo siyo kundi lake mtoto  aliyeafahamika kwa jina la Salome Pastory mwenye umri wa miaka mine.Taarifa hizo zimegundulika kufuatia baba wa mtoto huyo Edward Pastory kufika katika ofisi za Kijukuu Blog zilizopo Mjini Kahama kwa lengo la kuomba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

WILFRED WILBARD: Ulemavu si mkosi wala laana

“WATOTO wenye  ulemavu tunakabiliwa na changamoto nyingi katika  maisha yetu  ikiwemo kubaguliwa, kunyanyapaliwa na kuonekana kama mzigo mkubwa kwa jamii hata kwa baadhi ya wazazi wetu” “Ulemavu sio laana wala...

 

9 years ago

Mwananchi

Uongozi siyo njozi

Mtu awe mtendaji, akili hana ubozi,                                                                                          Muwazi ana kipaji, kichwa kimejaa lozi, Palipo na ukosaji habanwi na kikohozi, Utawala siyo njozi,...

 

11 years ago

Mwananchi

Coastal siyo shwari

Baadhi ya mashabiki wa Coastal Union juzi walijitokeza kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakiwa na mabango makubwa ya kuushutumu uongozi wa timu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani